Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboga za majani ninazokula bila kulalamika ni mchicha, kabichi na matembele.
Nyingine nakula kwakua nasikia ni muhimu kwa kujenga mwili.
Ccm sio ukweli. Ni alisimia zaidi ya 60% hatuko ccm ila ni Watanznia.Ndio maana tunawasisitiza muwe CCM
Haya mkuuKwa upishi huu wa wengi hakuna mbogamboga itakujenga mwili.
Haya mkuuKwa upishi huu wa wengi hakuna mbogamboga itakujenga mwili.
😂😂😂kama ulikuwepo, anajikubali balaa humwambii kitu kuhusu viungo😅 😅 😅 😅 Kwakuwa unakuwa ugenini unavunga tu ila huyo kawakomoa. Halafu utakuta yeye anajikubari kinoma kuwa mpishi
Wengi uwa anajikubali, kuna jamaa ana mke wake hajui kupika ila mtata, sasa jamaa uwa ananichekesha hata mkewe apike chakula hakijaiva atakula arambe mpaka sahani akimsifia kuwa anajua kupika maana mkewe ni mtata sana. Halafu ni watu wazima.😂😂😂kama ulikuwepo, anajikubali balaa humwambii kitu kuhusu viungo
[emoji23][emoji23][emoji23]haki nimecheka sana, Jamaa yako ana busara sana mpongeze kwa niaba yanguWengi uwa anajikubali, kuna jamaa ana mke wake hajui kupika ila mtata, sasa jamaa uwa ananichekesha hata mkewe apike chakula hakijaiva atakula arambe mpaka sahani akimsifia kuwa anajua kupika maana mkewe ni mtata sana. Halafu ni watu wazima.
Picha kwa hisani ya Uzi wa VyakulaNi kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Bilinganya sijui bamia sijui kisamvu mamamae pelekea mbuzi wakale nitazikuta kwenye nyama yao tu!
Angalia hata humu wamoUnataka kusemaaaa?Yaan mtazamo wa Wageni watatu wa Kiume Nyumban kwangu ndio wa Wanaume wote?
shida upishi sio?tatizo upishi wengi hawaijulii..
Ila ikitengenezwa vizuri utakula?Kabichi pia na bilinganya dah aisee hazina radha. Bora nyanya chungu
Kwani inaongeza naniliu?
Mlenda hapo akili yangu imegoma kabisa kuamini kuwa ni chakulaHata mimi sipendi, ikitokea nimekula nakula basi tu. Sipendi kabichi, sipendi mlenda, sipendi pilau, ikitokea nimekula nakula basi tu ila siyo kitu nachopenda
😀😀Daah mademu wa siku hizi wanavaa nguo nyingi balaa ikifika muda wa kumvua nguo inakua ni kama vile unaimenya kabichi.