raster kipara
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 218
- 43
Mhmhmmm onlen............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheni iwe ya kawaida sio ka mnyororo wa kuvutia Gari na SAA ya kiume ya kawaida sio kubwa ka ya mezani wanazovaa hawa wabongo fleva
Ila kweli wengine wanazidisha sijui kwanini wameamua kuwaiga wadhungu kila kitu hata kitu kibaya wao wanaiga tu
Ni ulimbukeni wa ku copy na ku paste kutoka kwa wazungu.
suluhisho....wamwamini Yesu Kristo Mnazarethi watabadilika.
"hata imekuwa mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya"
Siku hizi ni kawaida kumkuta mwanaume amevaa cheni shingoni au hereni masikioni. Tena utamkuta mwanaume mwenye akili zilizotimia (achilia mbali mateja) amevaa hereni na cheni kubwa huku akijiona mjanja! Huu ni ujanja au ni dalili za kukengeuka? Tangu dunia hii ilipoumbwa, inajulikana kwamba urembo ni kwa ajili ya wanawake.
Mwanaume hata ukiwa rafu ni pouwa tu-- hakuna mtu atakayekushangaa, tofauti na ilivyo kwa wanawake. Mwanamke ni kiumbe anayejisikia kuonekana nadhifu na mrembo nyakati zote.
Hivyo hupenda kuvaa vifaa vya urembo kama vile hereni, mikufu, pete, vidani, bangili, nk. Sasa wale wanaume wanaovaa vifaa hivi vya KIKE tuwaweke fungu gani?
Si wavae na sketi kabisa ili tujue moja? Kwa kweli wanaume wenzangu wanaovaa pete, hereni na mikufu wananiudhi sana. Mimi siwezi hata kuvaa saa kwa kuwa inanifanya nijihisi nimevaa bangili! Sasa iweje wanaume na ndevu zao watamani kuvaa urembo wa kike?
Naomba tujadiliane BILA JAZBA hadi jibu.
lipatikane HH
Yaani haya yanaudhi sana maana wanaiga ambayo sio ya kiafrika tena mabaya zaidi. Laiti ningekuwa kiongozi wa nchi hii ningefanya kama Rais KAGUTA MSEVENI wa UGANDA. Yaani hizi ni kero tupu.
Jamani mmesahau jingine kuwa wanalegeza sauti ,pia sasa hivi wanajua kuringa kuliko wanawake.
Pia hata kule kushusha kata k.
tanzania ilipata uhuru wake miaka 51 iliyopita.
Akyanani,siku nakukuta umevaa mapambo ya mtoto wa kike nakutongoza kabisa.Ukianza kuvaa vaa urembo una vaa roho za kutaman kupigwa "kibuyu"
Ila kweli wengine wanazidisha sijui kwanini wameamua kuwaiga wadhungu kila kitu hata kitu kibaya wao wanaiga tu