Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Sema sh.ngapi unauza suala la hela zangu ondoa shaka wewe toa tu bei elekezi siku hizi si mnauza indirecttafta hela kijana hela ya mwanamke mwenye akili n kuongezea pale wewe kama baba unapofemea lakini jukum kubwa unatakiwa ulibebe wewe baba
Nipo kurudisha utimamu wa nyie matahira sh.ngapi unauza weka bei elekezikumbe mama yako pia tahira okay ngoja nikupuuze
mwanamke ni akili, kama anawaza kuvaa na sim kali hatabukioa huyo lazima akigawe kwa boda boda mzoa taka the list goes on, kwa sababu kuna siku utakosa na yeye anataka amantain status yake ndio atawaza tu kukitoaFanyeni kazi mjihudumie,
Nimegundua ukiachana na viongozi wasio na weredi kundi lingine linalosababisha kama nchi hatupigi hatua ni wanawake. Wanapenda vya kupewa kuliko kufanya kazi na kupata wanyohitaji kwa juhudi zao.
Wanawake wengi wanawaza kuishi nyumba nzuri, awe na gari nzuri, Simu nzuri, mavazi ya gharama n.k. Ila vyote hivyo anadhani atavipata kwa mwanaume, wengi hawana plan yoyote ya kupata hayo mahitaji kutoka kwenye juhudi zao, wanasubiri wahongwe.
Pesa ya mwanaume inamajukumu mengi sana, basi hiyo yakwenu ambayo haifahamiki inafanyaga nini muitumie kujitunza, ununue Simu yako, mavazi yako n.k ili mwanaume afanye vitu vya msingi
Wewe sema unauza sh.ngapi acha kujiuma uma kucha si mnapenda slopeyan ww kwamba huku nje sina wa kumpa mpaka nije kukuuzia wewe? anyway hata ningekua nauza sidhani kama ningekuuzia ww
Wewe una akili gani tahiramwanamke ni akili, kama anawaza kuvaa na sim kali hatabukioa huyo lazima akigawe kwa boda boda mzoa taka the list goes on, kwa sababu kuna siku utakosa na yeye anataka amantain status yake ndio atawaza tu kukitoa
majority ya humi n fuata mkumbo kwamba kipi kina trend wanaenda nacho wakat kiuhalisia hawako hivyoUnajisumbua na hizi fake ID's za baadhi ya wanawake kuwa wanaume na vice versa.
Unajisumbua na kataa ndoa ambao tayari wana ndoa ila kucha kutwa kupiga kampeni humu.
team chaputa wanaongoza kula mbususu.
Huku mtaani tunatoa hela vizuri tu ila tatizo n humi, za kuambiwa changanya na zako.
Mzunguko wa maisha ni ule ule
kunitelezeshea tu mtinyama wako
Hamna mwanamme hasiye penda kumpatia mahitaji ya MSINGI mpenzi wake na kama wapo ni wachache sana.Aloo, hivi unajisikiaje kuto kumspoil mpenzi wako au mkeo? yaani mmeona ni big deal kumhonga mkeo mpenzi wako? sawa anafanya kazi sasa kumsapoti kiasi nayo ni vita? wanaume wabahili wa JF mnachekesha sana, mimi nafanya kazi na hela yangu inatumika na sote wawili, kilichopungua baada ya yeye kuongeza ni jukumu langu kuchangia tunasaidiana maisha yaende.
Wanawake na wasichana wenzangu tafuteni kazi muepuke haya mashambulizi, japo nashangaa bado yaani kuninunulia dozen ya chupi kuhudumia sehem inyokutoa stress nako ni mbinde? wanaume wabahili kutoa ni moyo sio utajiri no wonder mnsalitiwa unamvumilia mtu unajua hana siku akipata pia hajiongezi usimpe kikubwa hata kidogo inaongeza credit fulani kwamba unajali nyie mnadhani kujali ni kunitelezeshea tu mtinyama wako? kama tunavyoshirikiana kitandani basi kwa ustawi wa uchumi wa penzi na ndoa yetu iwe hivohivo, mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.
Wanawake wenye akili nchi hii ambao hawaamini katika kuhongwa hawafiki hata Milioni 2.mwanamke ni akili, kama anawaza kuvaa na sim kali hatabukioa huyo lazima akigawe kwa boda boda mzoa taka the list goes on, kwa sababu kuna siku utakosa na yeye anataka amantain status yake ndio atawaza tu kukitoa
unajua kama mwanamke lazima ajifunze kuridhika, apende mahitaj kulingana na uwezo waliokua nao, sasa mume hana uwezo utamwambia akununulie gar wakat huku ana pikipiki? huu n ujinga wanawake wa hivi ndio hutuponzea sisi woteHamna mwanamme hasiye penda kumpatia mahitaji ya MSINGI mpenzi wake na kama wapo ni wachache sana.
Tatizo nyinyi siku hizi mizinga yenu haina uhalisia na hamjua kuomba bali MNATAKA,mnataka simu kali,nguo za brand kubwa,bado kuna bundle,kila sherehe unataka nguo mpya na hapo bado hujaweka VIKOBA,MICHEZO MAJINA MATATU na MIKOPO,yote mnataka ilipwe kupitia hela ya mwanaume.
Kuna wengine wana kazi,mikopo,vikoba,michezo ila hela wanazopata hata wao wenyewe hawajui zinaishiaga wapi.
kivipi bossHahahahahaha..humu kuna watu wana dhiki na shida nyingi sana kiasi kwqmba hadi unawaonea huruma
na ndio hao wanaotuponza mpaka tunawekwa kundi mojaWanawake wenye akili nchi hii ambao hawaamini katika kuhongwa hawafiki hata Milioni 2.
Waliobaki wote ni wajinga wanaodhani maisha mazuri yanapatikana kwa kuhongwa na wanaume.
Aloo, hivi unajisikiaje kuto kumspoil mpenzi wako au mkeo? yaani mmeona ni big deal kumhonga mkeo mpenzi wako? sawa anafanya kazi sasa kumsapoti kiasi nayo ni vita? wanaume wabahili wa JF mnachekesha sana, mimi nafanya kazi na hela yangu inatumika na sote wawili, kilichopungua baada ya yeye kuongeza ni jukumu langu kuchangia tunasaidiana maisha yaende.
Wanawake na wasichana wenzangu tafuteni kazi muepuke haya mashambulizi, japo nashangaa bado yaani kuninunulia dozen ya chupi kuhudumia sehem inyokutoa stress nako ni mbinde? wanaume wabahili kutoa ni moyo sio utajiri no wonder mnsalitiwa unamvumilia mtu unajua hana siku akipata pia hajiongezi usimpe kikubwa hata kidogo inaongeza credit fulani kwamba unajali nyie mnadhani kujali ni kunitelezeshea tu mtinyama wako? kama tunavyoshirikiana kitandani basi kwa ustawi wa uchumi wa penzi na ndoa yetu iwe hivohivo, mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.
We soma kwa umakini michango ya watu ndio utajua... wanahalalisha kuomba omba iwe ndio maisha rasmi ...kifupi kuna watu wana dhiki mno mnokivipi boss
Wanawake wengi wenu siku hizi mnaakiri kama za watoto wadogo,kuna mwanamke anataka Sumsung wakati mme wake uwezo wake ni Techno na hapo unakuta huyo mume wake kamkuta anatumia iTel.unajua kama mwanamke lazima ajifunze kuridhika, apende mahitaj kulingana na uwezo waliokua nao, sasa mume hana uwezo utamwambia akununulie gar wakat huku ana pikipiki? huu n ujinga wanawake wa hivi ndio hutuponzea sisi wote
najua hio kasumba ndio inasababisha na hao wajinga wachache ndio wanatuponza woteWe soma kwa umakini michango ya watu ndio utajua... wanahalalisha kuomba omba iwe ndio maisha rasmi ...kifupi kuna watu wana dhiki mno mno
mimi ninayojuabkwa uelewa wangu mwanaume ndio kichwa cha familia, lazima apambane kwa ajili ya familia yake, ikitokea mwanaume huyu amepata mke mwenye kazi, mwanamke huyo anatakiwa ajazilize pale ambapo mwanaume ameishilizia siwez kufanya kaz na bado nikataka mwanaume anitimizie mahitaj yote bas ni bora yeye ahudumie wanawe mimi nitajihudumia mwenyewe japo hii roho ni ya kuipinga mnatakiwa kushirikiana pamojaPale hata jogoo tu wa kuku alipowashinda. Maana jogoo hutafuta akajipendekeza kwa jike, na jike ataamua ama abonyee ama la ili jogoo aendelee kutafuta funza mzr zaidi mpaka jike akubali. Yaani hata wanyama wamebaki na taratibu za kimaumbile zinazoimarisha mahusiano. Pole zao wana, Mungu tu awasaidie.
Hapa umeongea point kubwa sana ambayo ndo chanzo cha baadhi ya sisi wanaume kuonekana wabahili kwa hawa wanawake wasio offer chochote zaidi ya sex 🤞.mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.