Ndio hulka yetu ukarimu sio huko tukija unakuta mtu umemzowea hata kwake hataki kukupeleka kisa aibu ya anapoishi.Ha ha ha ha mmesahau tukija mikoan kila nyumba mnatupitsha ili tusalimie ili mrad tu uonekane na wewe umepata mgeni wa daslam
Kama tunapokaa aibu kwenu kinachowaleta mjin ni kip haswa? we emmyta ukija mjin unaonekana utatapeliwa asubh na mapemaaNdio hulka yetu ukarimu sio huko tukija unakuta mtu umemzowea hata kwake hataki kukupeleka kisa aibu ya anapoishi.
Hahahaa! Utetezi haukosekani ila punguzeni kula chips banaKwan mnavyolima viaz mlitegemea vikija mjin tuvifanyaje?
Ewaaa watuache sisi tuvae makoti kipindi cha mvua, wao hawayahitaji maana kipindi cha mvua wao wanakuwa bize kulima ili watoto wa mjini tusife njaa....Huyo c wa milimani mwambie alime tu aisee hakuna namna akija mjin nan atakaelima sie tutapeleka hela wao walime mavaz yetu watuachie kama yalivyo
Huko ipo kidogo sana na mnategemea kuja kuitumia huku mjiniHahahaa! Sio kweli kwa sababu hata huku pesa ipo
Sisi hatukuwa hivo kabisa.Lakini hata nyie mwanzo si mlikuwa hivyo hivyo.
Hiv nyie hamjishangai tukuacha kula chips vile viaz mtamuuzia nan tunafanya Hisan mnaleta jeur shubaaamitHahahaa! Utetezi haukosekani ila punguzeni kula chips bana
Ndio na nyie si mlikuta watu. Hilo ndio tatizo lenu kila mtu anajifanya kazaliwa DsmMwanzo upi sasa wakat nyie mmetukuta mjin
Mwambie siku hizi mjini kuna kivutio kipya cha washamba kinaitwa "mwendo kasi"Kama tunapokaa aibu kwenu kinachowaleta mjin ni kip haswa? we emmyta ukija mjin unaonekana utatapeliwa asubh na mapemaa
Utavaaje koti shambani wakirud nyumban wanajikusanaya kwenye moto wanaanza kuota sasa muda na aina za makoti watajulia wap?Ewaaa watuache sisi tuvae makoti kipindi cha mvua, wao hawayahitaji maana kipindi cha mvua wao wanakuwa bize kulima ili watoto wa mjini tusife njaa....
Hahahaaa! Unadhani tunalia basi. Mnatushangaza tu mambo yenuSisi hatukuwa hivo kabisa.
Ndo mkuje sasa achani kulia lia huko.
Mbona nyie kila mtu kazaliwa mkoanNdio na nyie si mlikuta watu. Hilo ndio tatizo lenu kila mtu anajifanya kazaliwa Dsm
Ndio nini hiko. Nitamanishe basi babu ili nipate kuja kukishangaa.Mwambie siku hizi mjini kuna kivutio kipya cha washamba kinaitwa "mwendo kasi"
Napenda kula chips ila sipo dar.Hahahaa! Utetezi haukosekani ila punguzeni kula chips bana
Huyu inabd asubir subir tukamtembeze kwenye fly over ya tazara na lile daraja la salenda la kupita baharinMwambie siku hizi mjini kuna kivutio kipya cha washamba kinaitwa "mwendo kasi"
Hahahahaa dah....Utavaaje koti shambani wakirud nyumban wanajikusanaya kwenye moto wanaanza kuota sasa muda na aina za makoti watajulia wap?
Baki huko huko msimu wa kuweka mbolea na kupalilia huu dar utakuja ukishavuna tule hela yako vzurNdio nini hiko. Nitamanishe basi babu ili nipate kuja kukishangaa.
Ndio mtushukuru sasa.Ewaaa watuache sisi tuvae makoti kipindi cha mvua, wao hawayahitaji maana kipindi cha mvua wao wanakuwa bize kulima ili watoto wa mjini tusife njaa....
Hata hayo mashamba yenyewe mengine ni yetu ila tumewaweka tu hapo kama vidampa watufanyie kazi sisi tunakula maisha tu huku wao wanasubiri hela toka kwetu.Ewaaa watuache sisi tuvae makoti kipindi cha mvua, wao hawayahitaji maana kipindi cha mvua wao wanakuwa bize kulima ili watoto wa mjini tusife njaa....