Wanaume na Wasichana wa Kazi za Ndani

Wanaume na Wasichana wa Kazi za Ndani

Status
Not open for further replies.
Umeongea hoja ya msingi sana Tall.HG akishakolea anaweza fanya chochote kwa mkeo..Kwa kweli wanaume mnatakiwa kutafakari kwa kina..
halafu wanawake wanakuwaga na mambo ya ajabu akiona una mke anataka ahakikishe yeye ndio anakuwa namba wani

kuna nyumba ndogo yangu moja niliikuta inapekua simu nikamuuliza vipi akadai anataka kuchukua namba ya mke wangu, pale pale nikaiambia imekiuka masharti na kuipiga chini siku ile ile. Mke wangu anamhusu nn
 
Hiyo ni tabia ya mtu na wala haichagui HG ama mdogo wa mke, shangaza ama mama mdogo...Ila mbona tupo wanaume wastaarabu tu msituhukumu wote plz.
 
halafu wanawake wanakuwaga na mambo ya ajabu akiona una mke anataka ahakikishe yeye ndio anakuwa namba wani

kuna nyumba ndogo yangu moja niliikuta inapekua simu nikamuuliza vipi akadai anataka kuchukua namba ya mke wangu, pale pale nikaiambia imekiuka masharti na kuipiga chini siku ile ile. Mke wangu anamhusu nn

jamani hv kama mkeo ni namba 0ne sasa huyu nyumba ndogo wa nini? jamani au sielewi mambo mie? najiuliza jibu cna maana najua alichonacho mkeo ndo hicho wakikuta kule sa sielewi me naona ni mambo ya kuacha 80% na kufuata 20%
 
jamani hv kama mkeo ni namba 0ne sasa huyu nyumba ndogo wa nini? jamani au sielewi mambo mie? najiuliza jibu cna maana najua alichonacho mkeo ndo hicho wakikuta kule sa sielewi me naona ni mambo ya kuacha 80% na kufuata 20%

ingeliwezekana ningekuombea ugeuzwe "kidume" japo kwa siku moja ili ujue ni kwanini? ,kwavile haiwezekani inabidi utuvumilie tu mamdogo.
 
halafu wanawake wanakuwaga na mambo ya ajabu akiona una mke anataka ahakikishe yeye ndio anakuwa namba wani

kuna nyumba ndogo yangu moja niliikuta inapekua simu nikamuuliza vipi akadai anataka kuchukua namba ya mke wangu, pale pale nikaiambia imekiuka masharti na kuipiga chini siku ile ile. Mke wangu anamhusu nn

Kumbe unatoka nje ya ndoa!
 
jamani hv kama mkeo ni namba 0ne sasa huyu nyumba ndogo wa nini? jamani au sielewi mambo mie? najiuliza jibu cna maana najua alichonacho mkeo ndo hicho wakikuta kule sa sielewi me naona ni mambo ya kuacha 80% na kufuata 20%

ingeliwezekana ningekuombea ugeuzwe "kidume" japo kwa siku moja ili ujue ni kwanini? ,kwavile haiwezekani inabidi utuvumilie tu mamdogo.
Hahahahaha! INFIDELITY IS THERE to STAY!!!!
 
Abraham alifanya vile kwa kuruhusiwa na mkewe bcoz mkewe hakuwa na mtoto by then na walitaka wapate mrithi, je waume zetu wanaofanya hivi leo wake zao hawajazaa?!


urithi mwingine mdogo.....
 
jamani hv kama mkeo ni namba 0ne sasa huyu nyumba ndogo wa nini? jamani au sielewi mambo mie? najiuliza jibu cna maana najua alichonacho mkeo ndo hicho wakikuta kule sa sielewi me naona ni mambo ya kuacha 80% na kufuata 20%
Huelewi nini hapo?!! Kashakwambia mkewe ni # 1 hiyo ina maana kwamba small hausi ni # 2, #3 na kuendelea....Halafu hapo kwenye red unasema unajua, we umejuaje hayo??????????????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom