Wanaume naomba mnisaidie hapa

Wanaume naomba mnisaidie hapa

Haiwezekani. Ni rahisi tu kujua kua kama mtu yoyote anakupenda atakupa attention.

Kitu pekee mwanaume anaweza kufanya huku anakupenda ni kua na wanawake wengine zaidi yako na bado anakupenda wewe, hilo tu ndio wanaume tunaweza na tunalimudu bila shida.
Ukweeli mchungu huuu
 
Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.

Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?
Sa jaman bila mawasiliano myafika kweli[emoji849][emoji849][emoji3166]
 
Kiukweli mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship though haya justfy kama ndo unapendwa sanaa...mwingine aneza akusalimie vile unataka na asiwe mkweli na anaeza asukusalimie akawa mkweli au muongo its un predictable.Ushauri wangu jaribu kuangalia factors zingine na siyo hiyo tuu ya mawasiliano.For me when someone truly loves you utajua tuu acha hayo mambo ya mawasiliano, outings, money giveaway...na vingine.Mbona mi najuaga kama huyo ni feki huyu ni real.A a man.

You just see it
Mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship?? Aise hii lugha ya wapi??
 
Labda nikuulize mleta mada..
Baba yako unampenda? Je, haijawahi kupita siku, siku mbili, hata tatu au zaidi hujampigia simu? Je, uliposhindwa kumpigia simu, alikulalamikia kwamba humpendi? Je, kupiga/kutokupiga simu ndio kipimo cha mapenzi? Vipi kabla simu hazijaingia, watu walikua wanawasiliana kila siku? Je, walikua hawapendani? Hivi kiuhalisia kuna haja ya mtu kukupigia simu kila saa ndio eti ujue anakupenda??

Huu ulimbukeni wa kudhani kwamba mapenzi ni kupigiana simu ni utoto.. mimi naweza kukupigia simu na kutuma msg kila dakika na nikawa sikupe ndi vilevile. Wanaume wana mambo mengi ya kufanya kupambana na maisha, kutafuta pesa nk ili uishi maisha mazuri.. sio kukaa kupiga piga simu kila dakika..! Aftaroo ukipigiwa simu kila saa mnaanza kutuona kama mazuzu.
Umemaliza kila kitu [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?

Naombeni tu mnisaidie hili jibu

Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
huyo hamna kazi hapo mtu akupende af aikutafute week we ulisikia wapi
 
Duuuuh ntakuja kuwa ktk mahusiano kweli? Km mapenzi yenyewe ndo kuwekana roho juu hivi? Mda wote kupean attention aaah, ntakua lonely ever. Siwezi mie kabisaaah
 
Duuuuh ntakuja kuwa ktk mahusiano kweli? Km mapenzi yenyewe ndo kuwekana roho juu hivi? Mda wote kupean attention aaah, ntakua lonely ever. Siwezi mie kabisaaah
Love comes at unexpected time utafall in love tu huwezi kwepa...
Usiogope dunia imejaa shida lakini huwa tunasahau pia imejaa furaha[emoji4]
 
Mapenzi ya kuwasiliana kila mara hayadumu mnafika mahali mnakosa hata cha kuongea maana mmeongea mambo rundo hadi mnakosa pa kuanzia
 
Back
Top Bottom