Wanaume naomba mnisaidie hapa

Wanaume naomba mnisaidie hapa

Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?

Naombeni tu mnisaidie hili jibu

Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Pengine nayeye anakufanyia assessment, anajikausha kuona km kweli una mpenda , so mmekutana. Supervisor wawili hapo hamtaweza kudumu ,labda mmoja akubali kuwa mwanafunzi

One love
 
Ameshakuacha Zamani...aanataka TU ujiongeze...Unakupigia Simu mnadu...anae delea na maisha yake...akipata hamu Tena ndk anakukumbuka ...huyu Hakupendi..

Mapenzi yakiwa mazuri, yanaflow TU yaaani...yaani mwenyewe unaona mawasiliano yanaflow hakuna kustruggle oooh mbon hujanipigia, mbona nakupigia hupokei..hujaona missed call?..week inakata mtu hakutafuti ..INAMAANA HAKUITAJI WALA HAONI UMUHIMU WAKO KWAKE... MOVE FORWARD.
 
Me nakwambia usibabaike,

As i told u. kuna wanaume sio active kwenye commmunication kama ameshajenga mahusiano na yamesimama. May be ww utateswa na mazoea kama zamani alikuwa hardly anacontact na ww frequently

Lakini pia inawezekana hakupendi na hawezi kukuambia hakutaki.

so kuna maelezo ya ziada yanahitajika kung’amua scenario yako
Acha kumdanganya mwenzio...yaani unampenzi unakaa week..nzima hamwasiliani.. hata usiku Basi unakaribia kulala ..kumjulia Hali ...hata Kama upo busy kiasi gani kumtafuta mtu haichukui dakina 5...unaweza piga Simu Basi wakati unakojoa Kama kweli huna muda kabisa.
 
Labda nikuulize mleta mada..
Baba yako unampenda? Je, haijawahi kupita siku, siku mbili, hata tatu au zaidi hujampigia simu? Je, uliposhindwa kumpigia simu, alikulalamikia kwamba humpendi? Je, kupiga/kutokupiga simu ndio kipimo cha mapenzi? Vipi kabla simu hazijaingia, watu walikua wanawasiliana kila siku? Je, walikua hawapendani? Hivi kiuhalisia kuna haja ya mtu kukupigia simu kila saa ndio eti ujue anakupenda??

Huu ulimbukeni wa kudhani kwamba mapenzi ni kupigiana simu ni utoto.. mimi naweza kukupigia simu na kutuma msg kila dakika na nikawa sikupe ndi vilevile. Wanaume wana mambo mengi ya kufanya kupambana na maisha, kutafuta pesa nk ili uishi maisha mazuri.. sio kukaa kupiga piga simu kila dakika..! Aftaroo ukipigiwa simu kila saa mnaanza kutuona kama mazuzu.
Hatuzungumzii kupiga Simu kila dakika...Mimi nampenda Mama yangu...Siwezi kaaa week sijawasiliana nae.
Tunachozungumzia Ni Mpnz umeamka salama....Hilo nalo Ni gumu ..
Yaani hiyo hela unayotafuta Ndo inakufanga ushindwe kumsalimia mpnz wako..

Ina maana UMUHIMU wake Ni pale TU ambapo unataka kufanya nae mapenzi..hapo Ndo unaweka vocha na kupiga simu?
 
Ndio mwanzo si kama tumekuwa kwa mudaa,kila kitu tupo sawa ila hapo tu kwenye mawasiliano,sioni kosa jingine lolote mambo mengine yote yupo sawa
Mambo mengine yapi,,, wakati hamwasiliani?.. akikupigia kutaka kufanya mapenzi Ndo mnawasiliana nawewe unasema kila kitu kipo sawa..

Tatizo you don't want to trust your instincts. Unaona redflag kabisa but unajifanya huoni..ACHANA NA HUYU MWANAUME.
 
Kiukweli mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship though haya justfy kama ndo unapendwa sanaa...mwingine aneza akusalimie vile unataka na asiwe mkweli na anaeza asukusalimie akawa mkweli au muongo its un predictable.Ushauri wangu jaribu kuangalia factors zingine na siyo hiyo tuu ya mawasiliano.For me when someone truly loves you utajua tuu acha hayo mambo ya mawasiliano, outings, money giveaway...na vingine.Mbona mi najuaga kama huyo ni feki huyu ni real.A a man.

You just see it
Umezungumza VIZURI!
 
Haiwezekani. Ni rahisi tu kujua kua kama mtu yoyote anakupenda atakupa attention.

Kitu pekee mwanaume anaweza kufanya huku anakupenda ni kua na wanawake wengine zaidi yako na bado anakupenda wewe, hilo tu ndio wanaume tunaweza na tunalimudu bila shida.
Mjumbe kama Mjumbe ni mtu anayeweza kutoa siri ya kambi
 
inawezekana anakupenda sana tuu,ila mnaviziana nani amuanze mwenzie kwa salam,mimi nnae wang nampenda sana,ila sometimes inawez katika siku zaid ya tatu no communications kwa sababu ya viburi vyetu kuoneshana nan bora zaid ya mwenzie,ila nshampa suspansion ya mwezi mmoja na nusu hivi ajifunze maisha,na huenda huyo jamaa yako nae huko anaomba ushaur kama wewe,la msingi hapo acheni ujinga furahieni kipindi hiki mko pamoja,wewe ukiamka saa 12 asubuhi mpe hi,kisha endelea na kuboresha uchumi wako,akijibu sawa,asipo jibu ni tatizo lake sio lako.
 
uyo anachokifanya kwako anakuandaa kuwa waifu matilio ndio mana ataki kukusumbua kukupigia pigia masimu ovyoo we kuwa mpole wanaume kama uyo wako mwisho wake uwa ni kutangaza ndoa tu hakuna jingine
 
Hiyo ni kweli kabisa hasa ukiwa kwenye mapenzi na watu wenye asili ya ugumu flani hiv ambao hawafanyi scrub, hawanyoi denge wala hawalambi lips,,, yan ukiwa na mwanaume wa dizain hiyo hata ukiumia anaweza asikwambie pole ila anakupenda kinoma yan, na ukimkaushia et usimtafute had yeye akutafute uta surrender mwenywe maana na yeye atakukaushia licha ya kuwa anakupenda.... Mimi pia nipo hivyo hivyo ila tatzo letu ni 1 tu huwa tunaachana na madem kimasihara
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?

Naombeni tu mnisaidie hili jibu

Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?


Nirushie namba ntapiga simu ilikuwa mbovu ikajifuta.
 
Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?

Naombeni tu mnisaidie hili jibu

Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Mmesikia wavulana, hapa wanatakiwa wanaume watoe ushauri! Wavulana mpite tu kwa kusoma tunachoandika wanaume!

Jibu hapa ni yes & no!
Inategemea na msingi wa mahusiano yenu! Nitarudi, ngoja niwaachie wanaume wenzangu!
 
Hiyo ni kweli kabisa hasa ukiwa kwenye mapenzi na watu wenye asili ya ugumu flani hiv ambao hawafanyi scrub, hawanyoi denge wala hawalambi lips,,, yan ukiwa na mwanaume wa dizain hiyo hata ukiumia anaweza asikwambie pole ila anakupenda kinoma yan, na ukimkaushia et usimtafute had yeye akutafute uta surrender mwenywe maana na yeye atakukaushia licha ya kuwa anakupenda.... Mimi pia nipo hivyo hivyo ila tatzo letu ni 1 tu huwa tunaachana na madem kimasihara

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sasa huoni unajichosha pia maana unaachana na watu kwasababu ya ugumu?ugumu ndio nini kwenye mapenzi
 
Back
Top Bottom