Wanaume naomba mnisaidie hapa

Ukweeli mchungu huuu
 
Sa jaman bila mawasiliano myafika kweli[emoji849][emoji849][emoji3166]
 
Mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship?? Aise hii lugha ya wapi??
 
Umemaliza kila kitu [emoji122][emoji122][emoji122]
 
huyo hamna kazi hapo mtu akupende af aikutafute week we ulisikia wapi
 
Duuuuh ntakuja kuwa ktk mahusiano kweli? Km mapenzi yenyewe ndo kuwekana roho juu hivi? Mda wote kupean attention aaah, ntakua lonely ever. Siwezi mie kabisaaah
 
Duuuuh ntakuja kuwa ktk mahusiano kweli? Km mapenzi yenyewe ndo kuwekana roho juu hivi? Mda wote kupean attention aaah, ntakua lonely ever. Siwezi mie kabisaaah
Love comes at unexpected time utafall in love tu huwezi kwepa...
Usiogope dunia imejaa shida lakini huwa tunasahau pia imejaa furaha[emoji4]
 
Mapenzi ya kuwasiliana kila mara hayadumu mnafika mahali mnakosa hata cha kuongea maana mmeongea mambo rundo hadi mnakosa pa kuanzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…