Wanaume naombeni mnijibu hili swali kwa mitazamo yenu

Wanaume naombeni mnijibu hili swali kwa mitazamo yenu

Mademoiselle

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2022
Posts
704
Reaction score
2,842
Good Sunday to everyone. Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married? Au ni hofu tu?
 
Cha msingi afate moyo wake tu hata akisema apate asiyena mtoto Bdo atakua na michepuko tu Ni vile vile na kingne asijidanganye eti Kua kigori ndo mwanaume hatocheat ndo hayo tu
 
Always follow your heart bt remember to carry your brains with you.

Kama yeye amempenda jamaa na Yuko radhi kuoana naye Basi asisite.Asiegemee sana kwenye kusikiliza maneno ya watu coz humu jf kila mtu anakuwaga na mtazamo wake kuhusu Jambo fulani.Sio kila anenalo mtu Ni la ukweli.

Namshauri huyo dada afunge ndoa na jamaa haraka iwezekanavyo.
 
Good Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere. Na amempenda kweli binti huyu na binti ni kigori.(mtaniuliza are you sure...yes Iam)

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Yani ameanza wivu mapema hivyo wakati yeye ndiye atakuwa mwizi wa mume wa mtu?Mwambie hivi,kwenye maisha akitafuta perfection sana kuipata ni bahati nasibu.Afanye ile kitu inaitwa hiyari ya moyo wake.
 
Good Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere. Na amempenda kweli binti huyu na binti ni kigori.(mtaniuliza are you sure...yes Iam)

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Kama jamaa anampenda na yuko tayari kumuoa asifuatilie vya kwenye kapu la jirani aishi maisha yake bila kumuwaza adui ambaye huenda asiwepo.

Na vipi akiolewa na asiye na mtoto halafu akaja kupatikana akiwa ndani ya ndoa? Mengine yasimuumize kichwa aangalie moyo wake na uelekeo wa jamaa
 
Good Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere. Na amempenda kweli binti huyu na binti ni kigori.(mtaniuliza are you sure...yes Iam)

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Muulize hili swali akikujibu basi afanye maamuzi sawa na jibu lake. Nini bora kuanza mechi 1-0 au kughailisha mchezo?
 
Mwanaume kugonga nje ni asili tofauti na mwanamke akigongwa nje, siyo asili, maana yeye (KE) ndiye anatumika I vote aolewe
 
Good Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Mmmmmgh Mambo mengine ni kuyaacha tu kama yalivyo! Yatamuumiza sana Sana jamaa, maaana siku mkitofautiana tu, mtatafutiana sababu za kijinga
 
Zimwi likujualo halikuli likakuisha. Kuchepuka kupo tu ni kheri amjue anayechepuka na mume wake kuliko kutomjua kabisa. Akaja kumjua wakati ananlnyang'anywa mume. Kama anampenda aolewe naye tu asiacue mbachao kwa msala unaopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Mwambie aache ujinga. Unakubalije kuolewa na mwanaume ambaye alishazaa na mwanamke mwengine?
Mbona hamjionei huruma nyie wanawake? Aaache ujinga huo. Atulie waoaji wapo tuu kama yeye ni wife material.
 
Kwa ulivyoyaweka mawazo.
Hili jambo limekutokea wewe mwenyewe.
Wewe olewa tu. Wakichepuka na wewe chepuka. Win~win

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwann akaolewe na mtu ambaye tayari alishazaa na mwanamke. Wanaume wangapi hawana watoto na wapo umri sahihi wa kuoa?

Kwanini asitafute mtu wa kuanza nae uzao from the scratch?

Haya mambo ya kuwachanganyia watoto ndugu na damu tofauti huwa inaleta shida sana mbeleni. Watoto nao wanaanza kufuata huo mfano wanazaa hovyo na watu tofauti kwa makusudi ndipo wanatafuta Ndoa.

Me nashauri huyo dada kama yupo serious na maisha yake ya baadae hebu awe makini kwenye hili. Mwanaume anaezaa na mwanamke halafu anaenda kuoa kwingine inakupa picha tu kuwa si mtu serious na misimamo.

Kwann uzae na mtu ambaye haujapanga kumfanya mkeo wa ndoa. Ni watu wangapi hata kama hajafunga ndoa still atakipata mtoto na mwanaume au mwanamke fulani ila wanaendelea na maisha ya pamoja.

Sasa mtu anapata mtoto na yule halafu anakuja kukuoa wewe, huyo ataleta mikosi kwa huyo dada baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kila mtu atasema dada afuate ndoa kwa msukumo wa kwamba ndoa ni kitu adimu na akikosa hapo kwamba anaweza kusumbuka kupata tena mtu wa kumuoa.

Hili ni tatizo la jamii sasa. Vijana wengi wanakimbia ndoa hata kama wanaimudu sababu jamii imewashape watoto wa kike kuamini ndoa ni sehemu ya kupata kama vile mchezaji wa mpira anaposaini mkataba mnono wa pesa nene.

Sasa ukitazama vijana wengi hali ya uchumi kwao si nzuri miaka hii kumkuta kijana wa miaka 30 ana miliki tu subwoofer flash yenye miziki ya gosper na godoro tu anaishi chumba cha hana hata kiwanja anakula kwa mama ntilie imeshakuwa kawaida.

Mabinti hawawataki hawa vijana si kwasababu si waowaji bali ni ile hofu ya kutotaka kutafuta na mwanaume huwa wanasema wanaume watakuja kuwanyanyasa huko mbeleni na kuwanyang'anya kila kitu walichotafuta pamoja na kutafuta mwanamke mwingine na kuwatelekeza na watoto [emoji23][emoji23][emoji23] cha ajabu wao wanataka wakutane na mwanaume awe na kila kitu waende wakapate nae watoto kisha wamuombee afe warithi mali na kuzitawala kwa amani. [emoji23][emoji23][emoji23]

Huu ni ubinafsi ambao jamii ime instill ndani ya akili za watoto wa kike especially hawa wa kizazi cha miaka ya kuanzia 1980 kuja leo. Tazama sasa wanavyoteseka sasa na kuharibu zaidi ya vile walivyowazia kuwa wangeharibu. Wapo tayari kuolewa na mtu anaezaa zaa hovyo na mabinti na hawajibiki kujenga familia imara ili mradi wanaona wanavyotaka kwa huyu mwanaume, awe na gari, ameajiriwa serikalini, awe anatoa pesa ya shida ndogo ndogo, asaidie familia ya Mwanamke etc. Huu ndio upumbavu wanaoshawishiana kuukubali.

Hawa vijana wanaoishi wenyewe na hawajaoa wakishaanza kujitafutia na kutengeneza kipato, kuna umri wakifika ni ngumu sana kuja kuwashawishi kujenga tena familia maana pesa wamepata, wameshamiliki assets kama viwanja, nyumba, gari, na pesa benki, wewe mwanamke unakwenda kufanya nini sasa kwenye maisha ya huyu mtu na anajua umekuja kukwarua pesa zake utumie kutatua shida zako?

Sasa kama hamtaki kuolewa why mnahangaika kuzaa si mnataka kuishi kisela basi muendelee achaneni na kupata watoto na hamjui ndoa inafanyaje kazi. Kama hauna huruma wa kujali kumuinua, kumsapoti, kumfariji, kuhasisha, kusikiliza na kushirikiana na mwanaume kujenga maisha kuwa number one fan wake achana na kupata watoto wala kulilia kuolewa na ukijua hii kazi hauwezi maana ukiianza haina kupumzika.

Jambo jingine nawapa siri wadada. Kama unabisha fanyia utafiti. Hizi ni golden formulas za maisha ya mahusiano ukizishika utafanikiwa sana kimahusiano usipozishika siku ukisoma tena hii comment utajilaumu sana.

1. Katika vita ya mahusiano, mwanaume hupambana kwa msukumo wa asili yake, mwanamke hupambana kwa msukumo wa hisia zinamwambia nini kwa wakati huo. Hence In every game you play in relationships you are bound to fail. Be very careful and serious how u make decisions.

2. Ukiona kwenye uhusiano wewe ndie unatakiwa ufanye maamuzi au msukumo ndipo vitu vitokee jua haupo kwenye mahusiano upo na mtu ambaye anasubiria kuanza mahusiano na wewe sie muhusika. Kwasababu mahusiano mwanaume huwa ndie ana run vitu wewe mwanamke unareciprocate kwake efforts zake. Ukiona unajiona unapatia sana na wewe ndie director katika huo uhusiano then jua upo umeshafeli kabla ya kujua umefeli. Kama unabisha endelea utakuja elewa hizi kanuni siku ukishakichezea.

Unapona upo na mwanaume kila anachofanya kila kuinua au kukuletea maamkizi fulani then tayari upo katika mahusiano. Kama unabisha kumbuka kuna wanaume ulishakutana nao na ulifeel kitu ukiwa nao ila ukachagua kwa utashi wako binafsi kuwa una mambo muhimu ya kuyapa kipaumbele kwa muda huo sababu haukuwa umewaona muhimu hadi wakaamua kukuachia na maisha yako ila leo hii wameoa na wanafamilia ila wewe hadi leo bado unajitafuta uchawi kuwa ulilogwa na nani hadi sasa hauna familia na utulivu ni zero.

Ni kwasababu ulidharau hizi kanuni mbili hapo juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann akaolewe na mtu ambaye tayari alishazaa na mwanamke. Wanaume wangapi hawana watoto na wapo umri sahihi wa kuoa?

Kwanini asitafute mtu wa kuanza nae uzao from the scratch?
wanaendelea na maisha ya pamoja.

Sasa mtu anapata mtoto na yule halafu anakuja kukuoa wewe, huyo ataleta mikosi kwa huyo dada baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabint wa siku hizi wapumbavu sana yan swala la kuiba Mume wa mtu Baba wa mtoto mwenye Mama aliehai nalo analiombea ushauri.

Ukioa au kuolewa na Mke au mume ambae mwenza wake wa kwanza yupo hai basi unazini maisha yako yote

Uzinzi nao anauombea ushauri[emoji848]
 
Good Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.

Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.

Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
iyo kitu ni tatizo kwa mwanamke tu, kwa mwanaume sio tatizo. mimi nikiongea na mama mtoto wangu wa nje sio shida kama ambavyo mke wangu angeongea na baba mtoto wa mtoto wake kama angekuwa naye. kama mtu mzima utakuwa umeshaelewa. sio tatizo kabisa labda kama wewe ni feminist.
 
Kugonga nje kwetu wanaume ni kama torati
Nikwambie kabisa na mapema ukweli mchungu najua ni wewe sio dada fulani anataka ushauri
 
Sema ni wew, unaruka ruka nini. Olewa tu, hata ukimpata asiye na mtoto mechi za nje lazima
 
Back
Top Bottom