Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kama una ugonjwa wa moyo,usiolewe kabisa,hakuna maraika duniani,ndoa ni kujitoa,hakuna garantii kwamba,hakuna atakae chepuka,chochote kinaweza tokeaGood Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.
Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.
Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Sema ni weweGood Sunday to everyone.
Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.
Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.
Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married???au ni hofu tu?
Mimi sio mchawi ila nimehisi tu ni wewe wala sio kuna dada mmoja , mm nakushauri olewa tu upruvu rong kuwa masinge maza sio mbayumbayu.Good Sunday to everyone. Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.
Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli kwamba yeye anaye mtoto amezaa na dada fulani somewhere.
Sasa huyu dada kila akisoma nyuzi humu anatishika vile ambavyo wanaume wanawakandia single mother kwamba saa yoyote baby daddy anajipigia anavyotaka. Sasa anajihoji je kama akimkubalia kuolewa na jamaa af baadae jamaa akiendeleza libeneke na baby mama wake tena akawa (mchepuko) wa kudumu itakuwaje?? She is not ready for such pains then should she not get married? Au ni hofu tu?