Wanaume nawakumbusha kuoga kipindi hiki cha mvua

J
na nyie mpunguze kuvaa boxer zetu mana sio kwa kuvaliana huku, mnazipanua sana, nikivaa inapwayapwaya mwishowe naacha
Jumapili kuvaa boxer ni lazima tupate upepo na kuwa free.....ujui kama sisi ni mwili mmojaa na ww vaa zangu lol
 
Kwani nani anataka umkombatie??
 
Mmoja wapo mm cjaogaa wala kuswaki hvyo mtu asinigusee hapo oficin crdb,,,
 
Huna jipya.....wivu unakutesa...mwanaume kazi wewe
 
Mimi siku ya 3, mpk nywele zinawasha[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…