Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanamke mwenzenu, huyu mama kaongea kwa uchungu sana maana ndiyo ukweli wenyewe wa kinachoendelea kwa sasa.

Dada na wadogo zetu wa kike msipoamka kutoka kwenye huo usingizi mzito basi miaka 20 ijayo jamii itakuwa na kizazi cha ajabu sana, na msidhani kutafuta pesa itawapa amani ya milele, na hizo pesa huisha pia.

Wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya furaha na amani siyo kwa sababu ya mali, japokuwa walikuwa na mali na assets za kutosha. Mabibi zetu waliwaheshimu waume zao hata kama hawana kitu, walikuwa radhi kulala njaa maana walijua maisha bila kuwa wawili si lolote wala si chochote.

Kazi kwenu✅

 
1712475165646.png
 
Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanamke mwenzenu, huyu mama kaongea kwa uchungu sana maana ndiyo ukweli wenyewe wa kinachoendelea kwa sasa.

Dada na wadogo zetu wa kike msipoamka kutoka kwenye huo usingizi mzito basi miaka 20 ijayo jamii itakuwa na kizazi cha ajabu sana, na msidhani kutafuta pesa itawapa amani ya milele, na hizo pesa huisha pia.

Wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya furaha na amani siyo kwa sababu ya mali, japokuwa walikuwa na mali na assets za kutosha. Mabibi zetu waliwaheshimu waume zao hata kama hawana kitu, walikuwa radhi kulala njaa maana walijua maisha bila kuwa wawili si lolote wala si chochote.

Kazi kwenu✅

View attachment 2956202
Mpuuzi tu. Kwanza mwanamke kubandika kope ni utaahira.
 
Tunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
 
Tunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Wanawake nyie ni wabinafsi mna roho mbaya mna choyo ndio maana mwanaume anaweza kulea na kusomesha mtoto wa kambo ila mwanamke anaweza akampa sumu mtoto wa kambo maraisi watanzania waliopita wote ilikuwa hawawatengi wake zao na walikuwa wanajulikana na kuwajali ila raisi toka awe mwanamke ubinafsi unaofanywa mungu ndio shahidi unaweza ukadhani hana mume halafu wakipata vinafasi wanakuwa na kibri kama yule mbunge wa babati alimuwekea mme wake bastola baada ya kumsaidia kupata ubunge na yule mbunge wa kimara baada ya kuingia mjengoni akadai talaka kiufupi wanawake ni selfish creatures.
 
Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanamke mwenzenu, huyu mama kaongea kwa uchungu sana maana ndiyo ukweli wenyewe wa kinachoendelea kwa sasa.

Dada na wadogo zetu wa kike msipoamka kutoka kwenye huo usingizi mzito basi miaka 20 ijayo jamii itakuwa na kizazi cha ajabu sana, na msidhani kutafuta pesa itawapa amani ya milele, na hizo pesa huisha pia.

Wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya furaha na amani siyo kwa sababu ya mali, japokuwa walikuwa na mali na assets za kutosha. Mabibi zetu waliwaheshimu waume zao hata kama hawana kitu, walikuwa radhi kulala njaa maana walijua maisha bila kuwa wawili si lolote wala si chochote.

Kazi kwenu✅

View attachment 2956202
Suluhisho la haraka ni kila mwanaume aoe mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
 
Tunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Uongo mtupu, mwanaume akipata pesa/mafanikio anahitaji mwenza wa kuishi nae ila wanawake wengi wakipata mafanikio wanataka waishi peke yao.
 
Tunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Umeongea kwa hisia tu dada/mama angu. Ukweli ni kwamba mwanamke hana stamina ya kuimiliki nyakati zake za mafanikio kiuchumi akiwa na busara na ile haiba ya mwanamke wa kiafrika.
 
Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanamke mwenzenu, huyu mama kaongea kwa uchungu sana maana ndiyo ukweli wenyewe wa kinachoendelea kwa sasa.

Dada na wadogo zetu wa kike msipoamka kutoka kwenye huo usingizi mzito basi miaka 20 ijayo jamii itakuwa na kizazi cha ajabu sana, na msidhani kutafuta pesa itawapa amani ya milele, na hizo pesa huisha pia.

Wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya furaha na amani siyo kwa sababu ya mali, japokuwa walikuwa na mali na assets za kutosha. Mabibi zetu waliwaheshimu waume zao hata kama hawana kitu, walikuwa radhi kulala njaa maana walijua maisha bila kuwa wawili si lolote wala si chochote.

Kazi kwenu✅

View attachment 2956202
Yote tisa , kumi ni kama mwanaume hajithamini hakuna mwanamke atakayemthamini, amini kwamba.

Tatizo kubwa ni kwamba wanawake wengi wamekubali kuolewa na wanaume ambao hawako physically attractive nao na hawasimami kama wanaume. Ila kama ma-ex waliowapenda mwanzo wasingeachana nao, nahisi hii kilio kisingekuwepo.
 
Back
Top Bottom