Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

Tunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Waambie hao kuku
 
Wanawake nyie ni wabinafsi mna roho mbaya mna choyo ndio maana mwanaume anaweza kulea na kusomesha mtoto wa kambo ila mwanamke anaweza akampa sumu mtoto wa kambo maraisi watanzania waliopita wote ilikuwa hawawatengi wake zao na walikuwa wanajulikana na kuwajali ila raisi toka awe mwanamke ubinafsi unaofanywa mungu ndio shahidi unaweza ukadhani hana mume halafu wakipata vinafasi wanakuwa na kibri kama yule mbunge wa babati alimuwekea mme wake bastola baada ya kumsaidia kupata ubunge na yule mbunge wa kimara baada ya kuingia mjengoni akadai talaka kiufupi wanawake ni selfish creatures.
Kabla hajapata Urais alivyokuwa anamuolea asubuhi na jioni mlikuwepo?
 
Uongo mtupu, mwanaume akipata pesa/mafanikio anahitaji mwenza wa kuishi nae ila wanawake wengi wakipata mafanikio wanataka waishi peke yao.
Tukiwa hatuna pesa mnatupaga stress sana, ndo tukizipata tunamwaga stress🤣🤣🤣
Yani niwe na pesa afu toto la mtu linilaze macho🤣🤣🤣 Sa nini maana ya kuwa na pesa🤣
 
Wanaona wao wana haki ya kunyanyasa Mwanamke. Hata jamii haishangai hilo
Wanawake tushazoea mateso, tukiwaonjesha wao wanaandamana hadi UN.....wanawake wengi wanaogelea kwenye ndoa za mateso, ndo mana wakipata Uhuru wa kiuchumi wanajivua fasta
 
Wanawake tushazoea mateso, tukiwaonjesha wao wanaandamana hadi UN.....wanawake wengi wanaogelea kwenye ndoa za mateso, ndo mana wakipata Uhuru wa kiuchumi wanajivua fasta
Sisapoti unyanyasaji ila wanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila wenyewe mnajijua kuwa ni viumbe hatari mno.
 
Wanaona wao wana haki ya kunyanyasa Mwanamke. Hata jamii haishangai hilo
Screenshot_20240406_104459.JPG
 
Sisapoti unyanyasaji ila wanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila wenyewe mnajijua kuwa ni viumbe hatari mno.
Hatari kwenye kulipiza.....ndo mana mi huwa nashauri mwanamke akikufumania muache, au ukiona unamnyanyasa yupo tu....kimbia.....payback yake ni hatari, na siku zote wanawake wanaattack ukiwa dhaifu, either kiuchumi au umezeeka.
Sa we fumaniwa afu foka🤣🤣🤣🤣
 
Hatari kwenye kulipiza.....ndo mana mi huwa nashauri mwanamke akikufumania muache, au ukiona unamnyanyasa yupo tu....kimbia.....payback yake ni hatari, na siku zote wanawake wanaattack ukiwa dhaifu, either kiuchumi au umezeeka.
Sa we fumaniwa afu foka🤣🤣🤣🤣
Hatari kwenye mambo mengi ndio maana tuliaswa kuishi nanyi kwa akili.

Mwanamke anaweza kukuacha kwa sababu huna kazi na vile vile anaweza kukuacha kwa sababu ya ubize wa kazi. Alafu unakomalia unyanyasaji upi uo?

Mimba mnazosingizia wanaume ambao sio nao ni unyanyasaji kwenu?

Ngoja niishie hapa maana yapo mengi.
 
Wanawake nyie ni wabinafsi mna roho mbaya mna choyo ndio maana mwanaume anaweza kulea na kusomesha mtoto wa kambo ila mwanamke anaweza akampa sumu mtoto wa kambo maraisi watanzania waliopita wote ilikuwa hawawatengi wake zao na walikuwa wanajulikana na kuwajali ila raisi toka awe mwanamke ubinafsi unaofanywa mungu ndio shahidi unaweza ukadhani hana mume halafu wakipata vinafasi wanakuwa na kibri kama yule mbunge wa babati alimuwekea mme wake bastola baada ya kumsaidia kupata ubunge na yule mbunge wa kimara baada ya kuingia mjengoni akadai talaka kiufupi wanawake ni selfish creatures.
kweli kabisa nitakuja na mkasa wangu humu siku moja hawa viumbe sijui wapoje wenzetu so selfish alafu utaambiwa wewe mwanaume ndio selfishhh
 
Wanawake tushazoea mateso, tukiwaonjesha wao wanaandamana hadi UN.....wanawake wengi wanaogelea kwenye ndoa za mateso, ndo mana wakipata Uhuru wa kiuchumi wanajivua fasta
Asili ya Ke ni mpokeaji sawa na sehemu zake za siri zilivyo, ndiyomaana Muumba alihalalisha Ke azae kwa uchungu (Mzazi/Mlezi wa Watoto) na Me ale kwa jasho (Mzazi/mhudumia familia kifedha) tofauti na hapo Ke akiwa strong financially, by status, education, famous kuliko Me lazima awe mbinafsi maana jasiri haachi asili.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
hayana mpangilio ni mvurugano kila upande una shida zake.
 
Back
Top Bottom