Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Waambie hao kukuTunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.