Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

Haya siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanamke mwenzenu, huyu mama kaongea kwa uchungu sana maana ndiyo ukweli wenyewe wa kinachoendelea kwa sasa.

Dada na wadogo zetu wa kike msipoamka kutoka kwenye huo usingizi mzito basi miaka 20 ijayo jamii itakuwa na kizazi cha ajabu sana, na msidhani kutafuta pesa itawapa amani ya milele, na hizo pesa huisha pia.

Wazee wetu wa zamani waliishi maisha ya furaha na amani siyo kwa sababu ya mali, japokuwa walikuwa na mali na assets za kutosha. Mabibi zetu waliwaheshimu waume zao hata kama hawana kitu, walikuwa radhi kulala njaa maana walijua maisha bila kuwa wawili si lolote wala si chochote.

Kazi kwenu✅

View attachment 2956202
Duuh Mizani ya ushambenga DSTV.
 
K

Kwahiyo wewe unazani hao maboss au viongozi wake zao Wana Raha sana na waume zao eti? Au kwasababu mambo Yao hayawekwi adharani, mbona hao baba zako kabla yakugombea vyeo vikubwa walienda kubembeleza wake zao warudiane maana hawezi pewa cheo kikubwa bila kuwa na mke wa ndoa, kwanini wasingetambulisha michepuko yao kuwa ndiye mke! Acha hizo sema wanawake niwavumilivu sana kuliko wanawake, unakuta kiongozi anawanawake kila mji, unazani mkewe anajisikiaje! Hivi mfano mke wa Rais aanze kupayuka Rais anavimada vingi sijui nini unazani ataekeweka na jamii? Huwa wanajikaza tu na kuwatunzia heshima.
Nje ya mada hata unachokiongea hukijui rudia kusoma tena nilichoandika ila wanawake hawana akili wote ndio kiumbe pekee kinaweza kumtupa mtoto mchanga kwenye shimo la choo na kumnyima chakula mtoto wa mume wake ambaye hajazaa naye yaani wewe hii mada umedandia ndio maana kuna mama wa kambo hakuna baba wa kambo.
 
Back
Top Bottom