Waambie hao kukuTunahitajiana wote, hata mwanaume bila mke si kitu.
Halafu sielewi mnavyosema mke ana pesa anamtukana mumewe, bila sababu? Wanaume ndio waasisi WA manyanyaso wakiwa na pesa, mke hufanya tu Yale aliyofunzwa na mumewe
Mwanamke hana dini wala tabia.....anajifunza kutoka Kwa mume.
Wao wakiwa na pesa wanatunyanyasa balaa, tukizipata tukiishi tabia zao wanasema tunawanyanyasa.....wakati ubaya wametufunza wao.Waambie hao kuku
Kabla hajapata Urais alivyokuwa anamuolea asubuhi na jioni mlikuwepo?Wanawake nyie ni wabinafsi mna roho mbaya mna choyo ndio maana mwanaume anaweza kulea na kusomesha mtoto wa kambo ila mwanamke anaweza akampa sumu mtoto wa kambo maraisi watanzania waliopita wote ilikuwa hawawatengi wake zao na walikuwa wanajulikana na kuwajali ila raisi toka awe mwanamke ubinafsi unaofanywa mungu ndio shahidi unaweza ukadhani hana mume halafu wakipata vinafasi wanakuwa na kibri kama yule mbunge wa babati alimuwekea mme wake bastola baada ya kumsaidia kupata ubunge na yule mbunge wa kimara baada ya kuingia mjengoni akadai talaka kiufupi wanawake ni selfish creatures.
Tukiwa hatuna pesa mnatupaga stress sana, ndo tukizipata tunamwaga stress🤣🤣🤣Uongo mtupu, mwanaume akipata pesa/mafanikio anahitaji mwenza wa kuishi nae ila wanawake wengi wakipata mafanikio wanataka waishi peke yao.
Wanaona wao wana haki ya kunyanyasa Mwanamke. Hata jamii haishangai hiloWao wakiwa na pesa wanatunyanyasa balaa, tukizipata tukiishi tabia zao wanasema tunawanyanyasa.....wakati ubaya wametufunza wao.
Uliniringia na utabaki singleKwa saiv bn kupata mke mwema ni bahati sana.
Na huyo ndio mwanamke alivyo.Tukiwa hatuna pesa mnatupaga stress sana, ndo tukizipata tunamwaga stress🤣🤣🤣
Yani niwe na pesa afu toto la mtu linilaze macho🤣🤣🤣 Sa nini maana ya kuwa na pesa🤣
Wanawake tushazoea mateso, tukiwaonjesha wao wanaandamana hadi UN.....wanawake wengi wanaogelea kwenye ndoa za mateso, ndo mana wakipata Uhuru wa kiuchumi wanajivua fastaWanaona wao wana haki ya kunyanyasa Mwanamke. Hata jamii haishangai hilo
Sisapoti unyanyasaji ila wanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila wenyewe mnajijua kuwa ni viumbe hatari mno.Wanawake tushazoea mateso, tukiwaonjesha wao wanaandamana hadi UN.....wanawake wengi wanaogelea kwenye ndoa za mateso, ndo mana wakipata Uhuru wa kiuchumi wanajivua fasta
Wanaona wao wana haki ya kunyanyasa Mwanamke. Hata jamii haishangai hilo
Hatari kwenye kulipiza.....ndo mana mi huwa nashauri mwanamke akikufumania muache, au ukiona unamnyanyasa yupo tu....kimbia.....payback yake ni hatari, na siku zote wanawake wanaattack ukiwa dhaifu, either kiuchumi au umezeeka.Sisapoti unyanyasaji ila wanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila wenyewe mnajijua kuwa ni viumbe hatari mno.
Hatari kwenye mambo mengi ndio maana tuliaswa kuishi nanyi kwa akili.Hatari kwenye kulipiza.....ndo mana mi huwa nashauri mwanamke akikufumania muache, au ukiona unamnyanyasa yupo tu....kimbia.....payback yake ni hatari, na siku zote wanawake wanaattack ukiwa dhaifu, either kiuchumi au umezeeka.
Sa we fumaniwa afu foka🤣🤣🤣🤣
Nikuringie kwa kipi?Uliniringia na utabaki single
kweli kabisa nitakuja na mkasa wangu humu siku moja hawa viumbe sijui wapoje wenzetu so selfish alafu utaambiwa wewe mwanaume ndio selfishhhWanawake nyie ni wabinafsi mna roho mbaya mna choyo ndio maana mwanaume anaweza kulea na kusomesha mtoto wa kambo ila mwanamke anaweza akampa sumu mtoto wa kambo maraisi watanzania waliopita wote ilikuwa hawawatengi wake zao na walikuwa wanajulikana na kuwajali ila raisi toka awe mwanamke ubinafsi unaofanywa mungu ndio shahidi unaweza ukadhani hana mume halafu wakipata vinafasi wanakuwa na kibri kama yule mbunge wa babati alimuwekea mme wake bastola baada ya kumsaidia kupata ubunge na yule mbunge wa kimara baada ya kuingia mjengoni akadai talaka kiufupi wanawake ni selfish creatures.
Nyiee acheni uongoooo! Mnajipakulia minyama tu lol!
Asili ya Ke ni mpokeaji sawa na sehemu zake za siri zilivyo, ndiyomaana Muumba alihalalisha Ke azae kwa uchungu (Mzazi/Mlezi wa Watoto) na Me ale kwa jasho (Mzazi/mhudumia familia kifedha) tofauti na hapo Ke akiwa strong financially, by status, education, famous kuliko Me lazima awe mbinafsi maana jasiri haachi asili.Wanawake tushazoea mateso, tukiwaonjesha wao wanaandamana hadi UN.....wanawake wengi wanaogelea kwenye ndoa za mateso, ndo mana wakipata Uhuru wa kiuchumi wanajivua fasta
Upo single wala huenjoy unalala chooni fahari yanyumba nikitanda wewe hulalii ili kariakoo mizigoo izunguke kwa.mkeo.umeambiwa 1.per monthNikuringie kwa kipi?
Nan alikwambia nipo single?
Endelea kujitekenya
nkajua naongea na mtu mwenye akili timamu kumbeUpo single wala huenjoy unalala chooni fahari yanyumba nikitanda wewe hulalii ili kariakoo mizigoo inguke kwa.mkeo.umeambiwa 1.per month