Wanaume ni wa ovyo sana

Wanaume ni wa ovyo sana

Najua baadhi ya wanaume watamtetea mwenzao, na iwe chai ama ukhalisia ila ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap, some men are just for every woman, yaani standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!

you guys, can't you save your energy and time for sth better and worth for..??
Hii kumbe ni kwa pande zote ?...🙄🙄
 
Bora umekuta anachati na wanawake shukuru Mungu ,kuna wenzako wanakuta anapumuliwa na wahuni .
 
Umepata ulichota.
Mwache sasa ukaolewe na mwingine
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Kama ni kweli ulicho andika, huyo Mwanamme anamatatizo, anakosa sifa ya kuwa Mume; Pole sana dada
Labda nikuulize japo sio kwa umuhimu; huko chumbani huwa unamtimizia akihitaji au unamwekea masharti/visingizio???. Hii ni kwasababu anaonekana kuwa very active hivyo anaweza kuhitaji kila muda akiwepo nyumbani na kama wewe huna uwezo huo au una visingizio vingi, yaweza kuwa moja ya sababu ya kutafuta huko nje.......
 
Na wewe Anza kuufanyia maonyesho ili iwe ngoma Droo.Akimwaga mboga na wewe unamwaga ugali
 
Usikae kiboya boya mwari wangu, ndoa bila unafiki haziendi....ukijifanya Una real love sasa hivi tutakusindikiza India Moyo umetanuka.
Usisikie wamama WA zamani walikuwa wanadumu kwenye ndoa, sio Kama hayo yalikuwa hayapo, walikuwa wanajua kubalance[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmama ana kimchepuko cha kudumu kijijini kwao, akienda kusalimia kwao anampa yooote....akirudi Kwa mumewe heshima na magoti juu.....maisha bila unafiki utapata maradhi sugu.
Usiwadanganye wanawake wenye akili kuwaharibia ndoa zao kama ulivyoharibu ndoa yako.
 
Mwenye kosa ni wewe, kwanini umeingilia privacy ya mtu, ujue akijua na akaamua kukushtaki atakufunga.
Kuolewa na huyo jamaa haimaanishi una uhuru wa kuingilia privacy yake.
Ushauri wangu: Muombe msamaha huyo mshikaji, na Mungu wako kwa hilo kosa, na usirudie tena.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah. Aombe msamaha tena!! Hahhahahaah jf asee kiboko
 
Ukitaka kupata sonono shika simu ya mume,
My rule ni moja tu sishiki simu ya mume hata iweje yani hata iite kama iko karibu hata akisema angalia nani anapiga huwa namjibu njoo uangalie mwenyewe!
Nafanya hivi kumaintain my peace na sijawahi kujuta mwaka wa 11 sasa nimeshazoea haya maisha!
Usipokua makini kuna mtu anaweza kukubadilisha from angel to monster,ukivuka hapo usishike tena simu yake,pole sana though!
Wewe ni mwanamke mwenye akili na ufahamu mzuri sana. MUNGU wa mbinguni ailinde na kuiinua ndoa yako iwe na furaha kupita siku zote.

Angalia wanawake wapumbavu wasikudanganye ukaharibu ndoa yako kwa kufanya mashindano na mume au eti kulipiza kisasi. Hicho kitu hakuna. Soma biblia kama kuna mahali wanawake walikiwa wakiripiza visasi kwa waume zao zaidi ya kuwaheshimu.

Nimekupenda Bure.
Nakutakia maisha marefu.
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Pole but your husband is an African Casanova 🥶🥶
 
Back
Top Bottom