Wanaume ni wa ovyo sana

Wanaume ni wa ovyo sana

Na wao wanakubali kuteswa sababu ya kukosa ufahamu juu ya mahusiano ya kimapenzi.

Ili uteswe ni lazima mateso hayo yapate ridhaa na nafasi ndani ya mtu.
Una Maana gani kusema wamekubali mateso,kwahy mtesaji anafurahia kumtesa mwenza wake?
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Hii ni chai kama chai zingine tunazokunywa kabla ya kufuturu
 
Ni sawa,
Lakini kwa upande mwingine ni afadhali kujua unaishi wa aina gani ili kama vipi muachane kabla ya hatari kutokea.

Awareness is empowering
Unaweza jikuta we kila siku unaachana tu adi kifo kikukute🤣🤣
 
Ndiyo maana Mimi sishiki simu ya Mke wangu wala yeye hashiki yangu.

Akishika na kusomo kitakachomkuta ni juu yake na hata Mimi nikisoma sms zake kitakachonikuta ni juu yangu.

Kila mtu aheshimu simu ya mwenzake .
 
Wanawake mnasababisha wenyewe haya mambo ,unakuta mtu unataka shoo mke unakuja na visingizio vingi,mara nimecheka ,sababu Kila siku,na unafahamu fika mumeo ni rijaal unategemea Nini,mfano mimi nimeamua kumcheat mke wangu Kwa ujinga wake
Hataa kamaa mkuuu ndio zaidi ya wanawakee I5 mpk 200...too much kwa huyoo mumewee aiseee
 
Kutokuwa na kinyaa nayo ni shida aisee!

Hatupaswi kula chochote ilimradi kinaliwa, hatupaswi kufanya vyovyote!

The World is ordered always.

Hata kuongea kwa mwerevu hawezi kuongea chochote na vyovyote bali atachagua chenye kufaa.

Hatufikiri vyovyote maana awazavyo mtu ndivyo alivyo.

Hatuvai vyovyote.

Ukiona mtu anakwambia anakula papuchi yoyote ilimradi ni papuchi mtu huyo anahitaji mafunzo ili ajitambue thamani yake na kuwa na maono!
Sawa Akili njema🤔.Ila pia sio lazima ukule🤔
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haichekeshi japo inachekesha baada yakujiangalia baada ya kusoma Uzi huu nikagundua ..KUMBE NAMI N MWANAUME
ss nacheka nn wkt ujaacha point hata Moja Kwa mwanaume aliyekamilika ...
HANAA MWANAMKEE MMOJAA....

KAA KWA KUTULIA........ULEE WATT
 
Mwenye kosa ni wewe, kwanini umeingilia privacy ya mtu, ujue akijua na akaamua kukushtaki atakufunga.
Kuolewa na huyo jamaa haimaanishi una uhuru wa kuingilia privacy yake.
Ushauri wangu: Muombe msamaha huyo mshikaji, na Mungu wako kwa hilo kosa, na usirudie tena.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
IFRS ingekuwa na misimamo kama ya kwako, makampuni mengi yangefungwa after one year.
 
Back
Top Bottom