Wanaume ni wa ovyo sana

Muulize rikiboy

Marijali Huwa hatuchagui Wala kubagua papuchi

Zote zinapewa huduma ya haki bin haki
 
Oooh lime mkuta jambo uyu
Na ww uache kimbele mbele chako Cha kukagua kagua simu za mumeo
 
K ni k tu...asikudanganye mtu
 
Kuna maradhi pia, Ukimwi wa kuletewa unaumaaa....Bora ukausake mwenyewe.

Na sisi masingle tunasema
""Hakuna mwanamke mtamu kama mwenye depression na ndoa yake, yaani hukupa yotee kama kulipiza huku akidhai mumewe anaona"

Kumbee ........

Nilikutana nae mmoja 2017 Iringa mjini, yule dada alikua nyokoo kitandani kumbe analipa kiasi cha mjeshi wake kutembea na Mwalimu wa Kihesa.....!!"

#YNWA
 
Njoo nikupoozee machungu mrembo twende nje ya mji tukale nyama choma chalinze tu hapo Kisha nakurudisha kwa jamaa yako
 
🤣🤣🤣🤣🤣Maisha mafupi haya kukaa kujiliza Liza kisa binadamu mwenzio.....
Halafu Kuna mbwa mmoja ananitumia sms "We jamaa utaoa lini?" Japo ni ndugu yangu ila kwa ushauri huu wa ndoa.

Ni dogggg

#YNWA
 
Cheap ni lile rungu[emoji23]
 
Dear,Usifukunyue sana.Mwisho wote tutaiacha hii dunia.Usiwe serious saana na hilo.Mpaka leo si mnadunda vzr tu na afya njema?..basi wote mnajitambua.Mkumbuke kwenye dua zako,nawe jikumbuke.
 
Hata kama,je Kati ya hao woooote hajapata hata mmoja basi atulie naye angalau awe na mchepuko mmoja,sasa yeye katongoza wanawake wote mitandaoni ,huyu ni binadamu kweli?
Unazngua ww[emoji1787]

Mtu anajit*mbea zake tu uko we unaumia nn[emoji23]
 
Wanawake mnasababisha wenyewe haya mambo ,unakuta mtu unataka shoo mke unakuja na visingizio vingi,mara nimecheka ,sababu Kila siku,na unafahamu fika mumeo ni rijaal unategemea Nini,mfano mimi nimeamua kumcheat mke wangu Kwa ujinga wake
Sio kweli.... Huko mitandaoni Kuna wanawake hawajambwato zaidi ya miezi 7-12 wanawabembeleza wanaume zao.... Wanapita hivi... Vizingizio 1000+

Nimekuja kugundua. Wakati mwingine huwa hakuna haja ya kuolewa.... Na ili usipate kichaa.... wakati mwingine usichukulie haya mambo serious sana... Otherwise unapata kichaa....

Ndoa nyingi sana hazina Furaha.... Then what are they for😴😪🤧🥴
 
Yani ni tit for tat....ukijifanya we ukisalitiwa unalia Lia, mara unaomba talaka utaomba ngapi?
Unatafuta mtu, unampa yoooote.....ukirudi nyumbani kimya, heshima zote, siku zinaenda.

Na haya mambo hayakuanza Leo, tatizo siku hizi tekinolojia inaumbua watu, unadhani bila simu huyu Cute angejua mumewe anavyotembeza rungu huko nje🤣 Wamama WA zamani walikuwa wanajilipa, tena aliyechanganyikiwa na watoto wa nje analeta ndani.

Ndoa za kiuaminifu tuwaachie wazungu, Sisi black ni kupigana matukio siku ziende.
 
Nyie wanawake hamjui jambo moja ,hujawahi kumlipa mwanamume mahari,wewe ni Mali yake,anaweza kuoa mwanamke zaidi yako ,anachokifanya mwanamume ukiiga utaharibikiwa,wewe ndio unakuwa mhanga,mwanamke ni WA mumu mmja na mume ni wake
 
😂 kumbe ndivyo mnavyofanyaga baada ya kugundua usaliti
 
Famchezo nn😂😂
 

Attachments

  • 124782B4-4206-4AF7-BDF2-71CBF19EF744.jpeg
    49.9 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…