Wanaume ni wa ovyo sana

Muulize rikiboy

Marijali Huwa hatuchagui Wala kubagua papuchi

Zote zinapewa huduma ya haki bin haki



Kutokuwa na kinyaa nayo ni shida aisee!

Hatupaswi kula chochote ilimradi kinaliwa, hatupaswi kufanya vyovyote!

The World is ordered always.

Hata kuongea kwa mwerevu hawezi kuongea chochote na vyovyote bali atachagua chenye kufaa.

Hatufikiri vyovyote maana awazavyo mtu ndivyo alivyo.

Hatuvai vyovyote.

Ukiona mtu anakwambia anakula papuchi yoyote ilimradi ni papuchi mtu huyo anahitaji mafunzo ili ajitambue thamani yake na kuwa na maono!
 
Realistically I [emoji177][emoji8] you Carleen from this comment.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume anakuaje cheap na wewe acha chai zako hapa.
Na yes mwanaume ni wa kila mwanamke ila mwanamke sio wa kila mwanaume. Hakuna usawa hapo.

Imagine huyo bidada ndo angekua na wanaume sijui 57 na 200 ngapi ngapi huko angeweza??
Mbona angekongoroka sana kwa kutumika hovyo.
 



Umenikumbusha mwanamke fulani (Nesi) alikuwa akienda kwao kijijini alikuwa ana-sex na Mwanaume fulani Mkulima .

Nilikuwa Mdogo lakini nilikuwa naweza yule mwanamke anatoka mjini anakubali kwenda kulala na Mkulima kijijini ambae hata kuoga haogi Maji mpaka mvua inyeshe mto ujae? [emoji848][emoji848]

Yani hadi leo nikikumbuka huwa nashangaa ingawa wote walishakuwa (late).

Kumbe kwenda kijijini kuna kuwaga na mambo au kule mtu alikulia.
 
Kuna wanawake wengine Eti anamfukuzia Mwanaume wake na bodaboda anamuweka mtu Mwanaume akitoka kazini anafuatiliwa nyuma hadi mwisho atakaporudi home Na akikaa na mwanamke Mchepuko mke anaitwa gafla wanalianzisha!

Sasa yote hayo ya nini kujitia jakamoyo?
 
Wengine Eti anatembea na picha ya Mwanaume wake akifika kila kijiwe cha bodaboda au Taxi anaonesha picha ya mumewe “ Huyu mnamjua”

Anaenda kwenye hotels anaulizia Huyu mnamjua?

Wewe mwanamke unashida gani?

Alokutana nayo hadi leo hana hamu!

Sasa Kwanini utake kufukunyua ?!

Halafu ufanye hivyo ukijua iwapo utamkamata uwe tayari kuachana lakini unabaki hapo hapo Ndiyo anaongeza kujiamini ktk kuchepuka anajua la kumfanya hauna na umefulia hata kwa kwenda huna [emoji108][emoji108]
 
Hayo tunayafanya iwapo unataka kumuacha mtu kwa hiyo unatafuta sababu ambayo utaeleweka hata kwa ndugu na jamii,

Ukiwa huna kwa kwenda (unajijua wewe ni Mamuma) basi tulia lea watoto usiyatafute
Ya kutafuta ambayo huwezi yatatua.
 
🤣🤣🤣 Watu wameanza kwenda vacation toka kale, wakienda huko wanapunguza stress zote.

Unajua watu wanasifia Wamama WA zamani walikuwa wanadumu kwenye ndoa, wavumilivu....hapo unakuta mumewe anazaa watoto kila mtaa na wengine wanawaleta nyumbani mke awalee....
Watu wasichojua Wamama walikuwa wasiri, nao Wana secret lovers wao, na wakiamua wanabeba na mimba za huko pembeni....unakuta watoto kwenye familia hawafanani, wengine Wana tabia za ajabu🤣🤣 kumbe mama kashafanya yake🤣🤣🤣
Ila ndoa zilidumu....kila mtu alikuwa na Kwa kupozea machungu.
 
Kuna Mwanaume mwingine unamkamata anakiri kweli anakwambia yule mwanamke wangu na siko tayari kuachana naye wewe ukiona vipi sepa [emoji108][emoji108]

Na wengine sio kurogwa wala nini bali ni kemia tu baina ya wawili hao na kuwa the right time!

Shoga hapo ndipo ukomavu huja [emoji108][emoji108]
 
Acheni kushika simu za watu wenu, unafunga ndoa ya millioni 20 unaivunja Kwa sms ya shs 500, hivi utakuwa na akili??? Mm hata mke wangu tuliachana Kwa style hii. Sema alinifuma na wawili tu mmoja alikuwa x wangu wa pili ndo nilikuwa namzengea ila alikuwa nje ya nchi na hatukywahi kuonana! Simu ni nzuri ila balaa lake ni kubwa chupuchupu mwanamke animwage damu nikasema Cha kufia nn ugali mtamu mama Rudi kwenu mpaka Leo ananitumia ujumbe ila nilishamove on Nina miezi miwili nimeachana nae nataka nikamuoe huyo wa nje ya nchi aliyepanbana na huyu mke wangu! Wanawake acheni kujifanya usalama wa taifa Kwa waume zenu tunawapenda sana hata kama tunachepuka!
 
Umeongeza na uongo humo, haiwezekani yote uliyoandika ikawa kweli.
 
Umeongeza na uongo humo, haiwezekani yote uliyoandika ikawa kweli.
Kuna wanaume wazinifu ww ACHA kabisa Nina rafiki yangu alidhatembea na wanawake 500+ wengine hata hawakumbuki! Mke kafimania we mpaka kachoka na Bado hawajaachana
 
Sasa wewe nyota yako imekukutanisha na nguruwe wako unaanza kuona wote nguruwe😁😁😁
 
Kuna wanaume wazinifu ww ACHA kabisa Nina rafiki yangu alidhatembea na wanawake 500+ wengine hata hawakumbuki! Mke kafimania we mpaka kachoka na Bado hawajaachana
Ndio inawezekana ila haya yaliyoandikwa na huyu mtoa mada uongo ni mwingi....anasema kati ya mafriend zaidi ya elfu4 wanaume ni 20 tu, unaamini hilo?
 
Hukuwa unampenda mkeo, Kwa hiyo hapo kosa la mkeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…