Wanaume ni wa ovyo sana

Hukuwa unampenda mkeo, Kwa hiyo hapo kosa la mkeo?
Huyo x tulishaachana na sikua na muda nae ilikuwa ni salamu tu maana hatukuachana Kwa ubaya Sasa huyu mke wangu akawa anachukuwa simu yangu anachati na huyo x as if mm ndo nachat na x nikafanikiwa kufahamu nikamkataza Bado hakukubali kwamba ni yy eti kisa password haijui nikamuonya aache hio tabia ya kupekua simu na kuwasiliana na wanawake hakuelewa akarudia Tena kumtafuta huyo mwanamke wa nje akachat nae sana wakatukanana mitusi isiyo ya Dunia hii na Bado nilipomfyma hakukubali Basi ugomvi ukaanza ilikuwa kama vita na akaapa kabisa atafanya mauaji wiki mzima nyumba haikaliki
 
Huyo ni baharia bado anatafuta huenda hujakidhi viwango vya TBS hapo aliiacha kwa makusudi akupe ujumbe tu
 
Wewe ulijuaje Kama wametukanana Kama huendekezi mawasiliano na hao wanawake, tena inaonesha humuheshimu mkeo hata kidogo.....Yani hao wanawake wa nje umewapa umuhimu kuliko mkeo.
 
Wewe ulijuaje Kama wametukanana Kama huendekezi mawasiliano na hao wanawake, tena inaonesha humuheshimu mkeo hata kidogo.....Yani hao wanawake wa nje umewapa umuhimu kuliko mkeo.
Niliona chattings zote na bd mwanamke alibisha kwamba siyo yy. Kesi ilikuwa nzito hii mpaka serikali ya mtaa tulifika
 
Hizo mbona ni changamoto za kawaida sana. Vipi ululitaka awe wako pekeako?
Na usikute hapo anakutafutia sababu huenda aliacha kulock makusudi kabisa😀 hata usimuulize ili mradi anakutunza na kujali familia. Acha wivuuu
 
Umbea wako ulikuponza("Hiyo ndio maana ya mwanakulitafuta mwana kulipata")kwa mujibu wa ndugu zangu wazaramoo 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…