Wanaume ni wa ovyo sana

Wanaume ni wa ovyo sana

Sio kweli.... Huko mitandaoni Kuna wanawake hawajambwato zaidi ya miezi 7-12 wanawabembeleza wanaume zao.... Wanapiga hivi... Vizingizio 1000+

Nimekuja kugundua. Wakati mwingine huwa hakuna haja ya kuolewa.... Ndoa hazina Furaha.... Then what are they for😴😪🤧🥴
Yaani mume asinit*mbe miezi 7 na Mie nipo tu namuangalia? Kwa sababu hiyo K huwa anaenda nayo kazini au? Labda awe anaumwa nitavumilia......Kama ni mzima WA afya, mbona Hilo dogo tu linasolvika🤣🤣🤣 au ndo Kwa sababu hakuna kaburi la mtu aliyekufa Kwa nyege🤣🤣🤣🤣
 
Yaani mume asinit*mbe miezi 7 na Mie nipo tu namuangalia? Kwa sababu hiyo K huwa anaenda nayo kazini au? Labda awe anaumwa nitavumilia......Kama ni mzima WA afya, mbona Hilo dogo tu linasolvika🤣🤣🤣 au ndo Kwa sababu hakuna kaburi la mtu aliyekufa Kwa nyege🤣🤣🤣🤣
Utakufa vibaya sana wewe
 
Wanaume tumeumbwa na huruma sana...Ni nadra msichana kumtaka mwanaume na mwanaume huyo eti aseme "Nina mtu wangu"



Sasa hiyo ni huruma au udhaifu wa kutojitambua?

Imeandikwa; “ pasipo maono watu huacha kujizuia “ kutenda mabaya/maovu.

Mwenye maono anajizuia!
 
Hizi simu zetu achaneni nazo mtalia na kujutia, ifahamike sio kila mwanamke ninayechat naye namla, kuna wengine huwa kama fun vile, kunao nachat nao na hata sina mpango wa kukutana nao ila ukisoma chat zangu utadhani nawatafuna.

Ukiingia kwenye simu ya mwanaume, utakuta unachokitafuta...
 
Yani mume wako kuwa hovyo ndio ujumlishe wanaume wote?. Tutake radhi 😊, sio kila mwanaume ana tabia kama za mumeo.
 
Nikichukua kisu nimkate pumbu nitaozea jela



Yanini yote hayo ?

Si afadhali uondoke hapo umwache!

Kwani maisha bila yeye hayaendi?

Kuliko kuvumilia Kwa sononi na kuanza kuwaza kumfanyia visasi.
 
Sasa Kama sio kitombi unaumia nini 🤣🤣🤣 hapa tunazungumzia wanaume vitombi, Kama wewe sio Kitombi pita huku....moja Kwa moja peponi.
Nakemea maovu yenu atleast dunia iwe na nusu ya wanaume waaminifu kama mimi😍
 
Ukitaka kupata sonono shika simu ya mume,
My rule ni moja tu sishiki simu ya mume hata iweje yani hata iite kama iko karibu hata akisema angalia nani anapiga huwa namjibu njoo uangalie mwenyewe!
Nafanya hivi kumaintain my peace na sijawahi kujuta mwaka wa 11 sasa nimeshazoea haya maisha!
Usipokua makini kuna mtu anaweza kukubadilisha from angel to monster,ukivuka hapo usishike tena simu yake,pole sana though!



Ni sawa,
Lakini kwa upande mwingine ni afadhali kujua unaishi wa aina gani ili kama vipi muachane kabla ya hatari kutokea.

Awareness is empowering
 
Nakemea maovu yenu atleast dunia iwe na nusu ya wanaume waaminifu kama mimi😍
Anza kuwakemea wanaume wenzio wasiopitwa na sketi.....Mimi nimetoa tu mbinu za kupambana na wanaume vitombi Ili kujiepusha na magonjwa ya Moyo.
 
Kuna wanaume waaminifu kabisa, and why? Mimi ni mmoja wapo. Kama wabisha, andika humii forum na ulizia public kama kuna mtu kawahi tongozwa na mie...



Udumu katika kuenenda hivyo maana huwa kuna kubadilika!

Kuna watu walikuwa walokole hasa lakini leo hii hata asieamini ana afadhali.
 
Anza kuwakemea wanaume wenzio wasiopitwa na sketi.....Mimi nimetoa tu mbinu za kupambana na wanaume vitombi Ili kujiepusha na magonjwa ya Moyo.
Huyo nae katuaibisha wanawake elfu 2000?Ana pepo siyo bure
 
Mwanamke anakuheshimu, anakuwa na msimamo pamoja na vishawishi anavyokutana navyo ila sasa mume aliyenaye ni pasua kichwa.

Jana usiku mwanaume kaondoka kapata dharula kasahau simu ya smart, kwa bahati mbaya kasahau kulock si kawaida yake, maana kakurupushwa na kaondoka na simu ndogo kaacha smart.

Nilikuwa nimekua kiakili kwamba sitashika simu ya mwanaume hata iweje na sijui ni shetani gani kanishawishi nikaishika.

Nikaenda Messenger ya FB nikakutana na chat zaidi ya 200 ya wanawake, wengine akiwatongoza, wengine "Mambo mrembo wangu" pande zipi? Hizi ndio text kwa kila mwanamke kwa kila mwanzoni mwa chating.

Nikagundua friendlist kati ya 4552 alionao FB wanaume ni 20 tu, hivo hivo kwenye Instagram, amewafollow wanawake kuliko wanaume na inbox huko sms zile zile.

Na cha ajabu ni kwamba katika kufuatilia kila wakichati na hao wanawake anawaomba namba za Whatsapp au anawatumia namba, na nilichogundua kupitia mitandao ya kijamii anatembea na wanawake zaidi ya 15 wawili wapo wilaya ya jirani, wanawake zaidi ya 2000 wanaitana my.

Wanawake 57 wanalalamika kuwa alitembea nao mara moja au mbili na kuachana nao bila sababu.

Anatembea au alitembea na wanawake wawili kutoka nchi ya Botswana kulingana na chating zao.

Nikataka niende WhatsApp, mikono ikatetemeka nikaacha.

Loh! Unamuona mwanaume yupo bize mtandaoni, ukimuuliza mbona bize sana, anakujibu biashara, mara betting, kumbe michepuko!

Sina hamu.
Alafu hii "mambo mrembo. Pande zipi upo?" Ndio common ice breaker ya wanaume wengi kule tinder badoo na hi5🤣🤣🤣🤣🤣
 
Usishike simu ya mwanaume utpofuka[emoji23]

Na je ungekuta anahudumia watu wa chama cha upinde si ungepata pressure kabisa....[emoji23]

Enewei...

Kataa ndoa.
 
Najua baadhi ya wanaume watamtetea mwenzao, na iwe chai ama ukhalisia ila ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao ni very cheap, some men are just for every woman, yaani standard ni kitu hawajawahi kuwa nacho kabisa..!!

you guys, can't you save your energy and time for sth better and worth for..??
Shida ni kile kichwa cha pili ukikiachia uhuru wa kufikiri huwa kina maamuzi ya kiwaki sana, inaitwa self-control
 
Back
Top Bottom