that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Huwezi kuishi bila wadudu lakini😉Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
sasa si mseme ukweli tangu mwanzo mtu aamue mwenyewe anakubali au anakataaukitongozwa kataa.sisi tunawatania tuu kuwatongoza nyie mnajaa mazima😁😁😁
unategemea tufanyeje?mamboyenyewe yakufanya nimengi halafu niwe bize nauchafu/Mapenzi?
warukaoNi wadudu wa aina gani??
Wanaume ni wadudu...[emoji3064][emoji3064][emoji3064] kamwe SIMBA hawezi kuzaa kima...!!!Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Mbona hamkusema mapema sasa? Maana mimi nimeshampa moyo mtoto wa mtu mwenye hicho kiungo 🤣🤣🙈Kikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
next kikao uniiteKikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Sasa huku fear men upande mwengine fear women lakini hawa viumbe wanagegedana sasa nashindwa kuelewa kweli hawa wanaogopna au kelele tuu.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?