Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm aiseee job true trueKikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Kikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Kwamba hamkukubaliana kutuombea tudumu nao tukipendana? Vibaya hivyo jamani!Usijali Nifah
Tulikubaliana pia kufarijiana mambo yakienda ndivyo sivyo manake kimsingi mdudu hakwepeki...tunaishi nao kwa tahadhari
Sisi tupo 😃
Kunywa maji baridi sister.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Pole sana. Amekuumiza mwanaume mmoja. Kwanini uwachukie wote?Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Kwamba hamkukubaliana kutuombea tudumu nao tukipendana? Vibaya hivyo jamani!
Mimi hata tahadhari sina, nampendaaaa!
Basi tuombeane 🤣🤣🙌🏾Hata mie nampenda na sitaki kushauriwa 😂
Maombi yapo ya kudumu lakini si unajua shit happens...
I didn’t shed even a single tear!najua ushalia ukapona.jiandae kulia tenaaaa
Na autakaa uipateMimi niliumizwa nikipta nafasi nami naumiza
Chukua mdudu wako mtupe kwenye majivu 😂😂Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa
[emoji2960][emoji3]kishaumana [emoji3][emoji3][emoji3]