Wanaume ni wadudu

Wanaume ni wadudu

Kikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi

Nwei...pole
f9b2b523f4540c0764d5b82e491596b2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Kunywa maji baridi sister.

Halafu elezea vzr mkasa wako huenda ww ndo chanzo cha yote.
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Pole sana. Amekuumiza mwanaume mmoja. Kwanini uwachukie wote?
 
Kwa hiyo unawashauri ladies wasagane au?,
Hata bi mkubwa nyumbani anamuogopa dingi au ww umezaliwa na jinsia ke zote?.
Kuumizwa kwako usiwatie wanawake wenzio ujinga, kama umeumizwa ni ww na ulimbukeni wako na huyo mdudu wako usitujumlishe wanaume wote!...
 
Back
Top Bottom