Wanaume ni wadudu

Wanaume ni wadudu

Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?

Sema mwanaume wako, hiyo laana usiwabebeshe wengine
 
Basi tuombeane [emoji1787][emoji1787][emoji1487]

Yes, I do. Ndio maana nasema tuombeane mwaya.
Breakup zinaumiza hasa hivi mtu unampenda hadi kushauriwa hutaki!
Yaani nyie mnashangaza sana eti mnatupenda wakati mnachopenda ni hela zetu tu na tukiwaacha vilio huwa ni kwa ajili ya kukosa pesa zetu tushawashtukia sasa hivi ni kuchapa na kupita hivi[emoji851][emoji851][emoji851][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Kikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi

Nwei...pole
Sisi naona mwanachama alisikiliza na kufanyia kazi ajenda za kikao chetu wanaume.Moja ya ajenda ni ukiona mwanamke anapenda hela sana piga tembeee na tumia uongo wote ili tu ujilie utam usepe sasa tiyari mwamba kaacha kilio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani nyie mnashangaza sana eti mnatupenda wakati mnachopenda ni hela zetu tu na tukiwaacha vilio huwa ni kwa ajili ya kukosa pesa zetu tushawashtukia sasa hivi ni kuchapa na kupita hivi[emoji851][emoji851][emoji851][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Bwana wee yaani wao wanataka hela yetu tuu hamna chingine hapo
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Umeliwa kimasihara nini? Chezea wewe!
 
Back
Top Bottom