DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,528
- 1,955
And the healing beginsAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Pole. Kwa kupatwaAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Mikasi hiyo inaashiria nini?
we njoo kwangu nikusitiri japo ninamiliki mademu 2. Jitihada zako tu.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Hata sisi tuna lawama na nyie mbuzi msiofaa mbaya kabisa, wanawake mnaangalia pesa tu na siyo upendo, na ndiyo maana mnakutana na mlio watenda na nyie mnatendwa kama kisasi Cha mwenzio aliye leta ushenzi, binafsi sina huruma na mwanamke yoyote hapa Duniani isipokua mama yangu tu ambaye nae watajuana na Baba, nyie wengine nikisikia mmetendwa kwanza nasikitika kuona hata umepata muda wa kuingia JF, ulitakiwa kua kwende kitanda Cha hospital shenzi zakoAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Ni wadudu wa aina gani??
Je wanawake wana umalaika kiwango gani?Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Acha umamaAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Si lakini dudu likiingia unafel RahaTena dudu la kutisha.
Nia ni dudu lidudulishe mengine baadayesasa si mseme ukweli tangu mwanzo mtu aamue mwenyewe anakubali au anakataa
Tuheshimuni dudus sana maana isingekuwa dudu wewe usingekuwepoKikao cha mwisho tulikubaliana kwamba do not trust anything with a d1ck
Nafikiri hukuhudhuria hicho kikao that manzi
Nwei...pole
Hao makalagabaho wewe homondola unono wa dudusMbona hamkusema mapema sasa? Maana mimi nimeshampa moyo mtoto wa mtu mwenye hicho kiungo [emoji1787][emoji1787][emoji85]
Aisee mama mchunguji niazime kidogo tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani wanaume kuwa kwao wadudu kunaweza kuwafikia wanawake ambao wao ni nyoka...
Mwenyekiti wa kikao kabla ya kukaa unambie dudu nichangie maji ya kunywaUsijali Nifah
Tulikubaliana pia kufarijiana mambo yakienda ndivyo sivyo manake kimsingi mdudu hakwepeki...tunaishi nao kwa tahadhari
Sisi tupo [emoji2]