Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Acha unaa mkuu, jichanganye na hii kirimasi utaona kila rangi😂Ni kweli mimi siwezi kuwa kama huyo tapeli anaechezea mudada musupu kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha unaa mkuu, jichanganye na hii kirimasi utaona kila rangi😂Ni kweli mimi siwezi kuwa kama huyo tapeli anaechezea mudada musupu kama wewe
😂😂😂😂😂😂 anataka faraja huyoAcha unaa mkuu, jichanganye na hii kirimasi utaona kila rangi😂
Narudia, huu ni mwisho wa mwaka...tega akili sawasawa😂😂😂😂😂😂😂 anataka faraja huyo
Usisahau kwamba mimi ni bahariaNarudia, huu ni mwisho wa mwaka...tega akili sawasawa😂
Sisi ni wadudu, tukiingiza mdudu, tunatoa mdudu mdogo kama wewe...ogopa uboo sanaAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Basi ogelea utokee upande wa pili😂😂Usisahau kwamba mimi ni baharia
Haha hii kauli sasaBasi ogelea utokee upande wa pili[emoji23][emoji23]
Naam amesema yeye ni bahariaHaha hii kauli sasa
Alitumia mambo ya asili kuniadhibu.
Uliwahi kusikia Wimbo wa "Mtalimbo umelala dolo"
Sometimes women are evil [emoji17]
Na nyie mnavyotupanga foleni hamuoni kuwa mnatukosea? Ndo mkome na tamaa zenu.Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
"Papito, Sinyora,Garito,Mamito,Benzema, Mwamposa ,Kapumbu siku hizi wananiita mdudu aiihAliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..
limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲
anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men
na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Lakini sikuwa na kosa ujue. I used to tell her at first place kwamba was just normal date kama nyingine.safiii alikuadhibu vizuri saaana
We mtoto utakuja kuniua one day
shenzi sana wewe😀😀"Papito, Sinyora,Garito,Mamito,Benzema, Mwamposa ,Kapumbu siku hizi wananiita mdudu aiih
UDUDU ni mwingi.". PHD
In HEMED's voice.
mbona tamaaNa nyie mnavyotupanga foleni hamuoni kuwa mnatukosea? Ndo mkome na tamaa zenu.
am pretty sure atakua na reason ya kufanya alichokifanya na pengine ukija kusikia unaeza usiamini kama ni yeyeLakini sikuwa na kosa ujue. I used to tell her at first place kwamba was just normal date kama nyingine.
Useme Wanawake wa miaka ile ya 70's hawakuwa waelewa tu, walidhani kila mahusiano yalitakiwa kuishia kwenye ndoa which was wrong
Jaribu kuimba ule Wimbo "Usifurahi juu ya yangu ewe adui yangu ...."
Sio vizuri ujue 😢