Wanaume ni wadudu

Wanaume ni wadudu

am pretty sure atakua na reason ya kufanya alichokifanya na pengine ukija kusikia unaeza usiamini kama ni yeye

sometimes mapenzi yanawageuza watu kua wanyama trust me
Uko sahihi, mnajua ninyi Ke huwa mnaongozwa na hisia kwenye maamuzi mengi kuliko sisi Me.

Unajua alisemaje mwishoni, kwamba alifanya vile ili wakose wote.

Ni miaka 50 sasa imepita japo kisa bado nakikumbuka.

Nilikutana naye mwaka 2018 kwenye tukio fulani, bahati nzuri wote tumejikuta tunatembelea Mkongojo 🤗
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
baba ako ni mdudu wa aina gani?

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia
DADA WEWE SI ULISEMA KUFIKA KILELENI MPAKA UONE PESA 🤣🤣🤣😂
 
Aliesema fear men hakukosea, aisee wanaume ni wadudu siwapendi nawachukiaa..

limtu linakukuta zako na furaha linakufanya unafall alafu linaleta mambo ya kijinga 🥲

anyway, ladies take time to fear men, hakikisha una fear men

na nyie wanaume huwa mnajiskiaje kumuumiza mtu kihisia ?
Mbona na nyie huwa mnatuumiza sana embu acha kujipendelea
 
Wanaume ni wadudu
Mdudu gani sijui kamng’ata That manzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hakijamuuma… mpaka unapata muda wa kuandika? Alitakiwa sahivi awe analia huko [emoji1787][emoji1787] Michozi mfululu
Ilitakiwa saa hizi angekuwa anauguzwa lakini yeye anajiuguza mwenyewe
 
How come unamwamini binadamu,hata Mungu ashasema MPENDE KILA MTU ILA MWAMINI MUNGU TU
 
Wanaume ni wadudu
Mdudu gani sijui kamng’ata That manzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hakijamuuma… mpaka unapata muda wa kuandika? Alitakiwa sahivi awe analia huko [emoji1787][emoji1787] Michozi mfululu

ningekaza ubongo nisingepata muda wa kuja huku ashukuriwe Mungu nilistuka mapema
 
Back
Top Bottom