Wanaume niliowakataa mchumba namba tatu! Muendelezo

We ni mwanamke wa ukweli saana ktk ushauri niliouona leo humu huu wako umesimama kama rula,akishindwa kukuelewa wewe basi tutegemee threads kibao za vilio toka kwake baadae........bravo mama!![emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Harafu upungufu alionao yeye ni wa kuwa bize na kazi si unapaswa ushukuru Mungu jamani.......nimekuja kukubali jamaa mmoja alikuwa anasema wanawake wengi wanapenda sana mashalobalo wapaka poda ns wavaa milegezo ni kweli kabisa!![emoji1]
 
Huo ni umalaya full stop.
 
Mrs Leo you just tnailed it. Natamani hii ndio ingekuwa conclusion ya uzi huu. Asante sana. Wewe kweli ni mkomavu na busara pia unazo. Nimekupenda bure.
 
Bora uwafundishe, wanajazwa akili za kudhikiwa humu.
 
Mrs Leo you just tnailed it. Natamani hii ndio ingekuwa conclusion ya uzi huu. Asante sana. Wewe kweli ni mkomavu na busara pia unazo. Nimekupenda bure.
Kwny maisha kuna bahati na kuna kutumia akili pia.... Bahati ya mwenzio usilalie......
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…