Wanaume niliowakataa mchumba namba tatu! Muendelezo

Wanaume niliowakataa mchumba namba tatu! Muendelezo

mabinti wenzangu hebu acheni kujidanganya kwamba dating multiple men ndo kuolewa, unaweza date hata 10 na asikuoe hata mmoja mwisho wa siku ukaishia kuwa alone, ndoa ni majaaliwa ila cha muhimu ni kujua unataka nini na mtu wa aina gani, kuwa na mtu mmoja mkishindwana basi utapata mwingine na kama ni bahati yako utaolewa tu, trust me i speak from experience, muda ulipofika i met the man of my dream, we dated for just 8 months tukaanza process tukafunga ndoa. Kuna wadada ninawafahamu waliishi wa hiyo rule kwamba una date watu wawili au watatu unaangalia future iko wapi, jamani mpaka leo wapo tu, wingine wameamua kujizaliwa na kuwa single mothers
 
mabinti wenzangu hebu acheni kujidanganya kwamba dating multiple men ndo kuolewa, unaweza date hata 10 na asikuoe hata mmoja mwisho wa siku ukaishia kuwa alone, ndoa ni majaaliwa ila cha muhimu ni kujua unataka nini na mtu wa aina gani, kuwa na mtu mmoja mkishindwana basi utapata mwingine na kama ni bahati yako utaolewa tu, trust me i speak from experience, muda ulipofika i met the man of my dream, we dated for just 8 months tukaanza process tukafunga ndoa. Kuna wadada ninawafahamu waliishi wa hiyo rule kwamba una date watu wawili au watatu unaangalia future iko wapi, jamani mpaka leo wapo tu, wingine wameamua kujizaliwa na kuwa single mothers
Umesomeka Mrs... Asante kwa personal xperience
 
mabinti wenzangu hebu acheni kujidanganya kwamba dating multiple men ndo kuolewa, unaweza date hata 10 na asikuoe hata mmoja mwisho wa siku ukaishia kuwa alone, ndoa ni majaaliwa ila cha muhimu ni kujua unataka nini na mtu wa aina gani, kuwa na mtu mmoja mkishindwana basi utapata mwingine na kama ni bahati yako utaolewa tu, trust me i speak from experience, muda ulipofika i met the man of my dream, we dated for just 8 months tukaanza process tukafunga ndoa. Kuna wadada ninawafahamu waliishi wa hiyo rule kwamba una date watu wawili au watatu unaangalia future iko wapi, jamani mpaka leo wapo tu, wingine wameamua kujizaliwa na kuwa single mothers
mi kudate mmoja tu siwezi sembuse multiple? mi najituliza zangu bna bora nisiolewe kuliko kutembeza papa kila kona kisa kutafuta ndoa
 
Bora alie kilio cha kushindwa kuchagua yupi kwa kuolewa nae kuliko kilio cha kujitoa sanaaa kwa mwanaume mmoja af akaolewa mwenzie... Life is abt choices baby...choices....challenge ur future
Okay!!
 
Mbna unamtia woga..? Unataka aendelee kuwaste time?am js advising her to use her time properly to reach her end goal ya kupata mtu wa kuishi nae...
Ila unatakiwa ujue mwanamke kama wana waume wawili kugundulika ni rahisi sana kuliko mwanume,sijui unalijua hilo?
 
Hahahhaha... Eti siku moja.. Yaani na nilivyo careless mfano kwenye simu yaani ni faster.. But usinitishe bhana kila safari ni hatua [emoji1] [emoji1]
Umeona eeh? Mi sikutishi ila inabidi ujipange kweli kweli binafsi siwezi kukushauri ufanye hivyo
 
mabinti wenzangu hebu acheni kujidanganya kwamba dating multiple men ndo kuolewa, unaweza date hata 10 na asikuoe hata mmoja mwisho wa siku ukaishia kuwa alone, ndoa ni majaaliwa ila cha muhimu ni kujua unataka nini na mtu wa aina gani, kuwa na mtu mmoja mkishindwana basi utapata mwingine na kama ni bahati yako utaolewa tu, trust me i speak from experience, muda ulipofika i met the man of my dream, we dated for just 8 months tukaanza process tukafunga ndoa. Kuna wadada ninawafahamu waliishi wa hiyo rule kwamba una date watu wawili au watatu unaangalia future iko wapi, jamani mpaka leo wapo tu, wingine wameamua kujizaliwa na kuwa single mothers
Umeona eeeh??! Waambie ukweli hao maana utakuwa unatangatanga badala ya kuwa specific.......waache wafanye ila naamin kuna siku wataleta uzi humu wa kulia juu ya kutendwa na wanaume!!
 
Huyo ndo wa ukweli achana na yule mwingine
I have already given him my words, so namvumilia tu na ubize wake kwa kuwa najua nature ya kazi yake.. Even though I am missing the attention but no problem there's a hope for future....
 
I have already given him my words, so namvumilia tu na ubize wake kwa kuwa najua nature ya kazi yake.. Even though I am missing the attention but no problem there's a hope for future....
Haya ndo maneno unayotakiwa kuyasema sasa,safi!!
 
Hahahhaha... But I'm scared nisije kuta he's foolish me.. Waiiii mapenzi ni kiza tu, kikubwa kuomba Mungu uliye naye awe genuine
Pambana mama ila kwa kiasi kikubwa wanawake huwa tunawadanganya sana hata kama unampenda
 
Back
Top Bottom