Wanaume niliowakataa mchumba namba tatu! Muendelezo

I will be back soon
 
Hahahha miss wewe nmecheka sanaa...hasa the uvivu part mana nakue bora tuko wengi...

Swala la mume baby hamnaa perfection naona unaitafuta kwa bidii.... The good in bed guy angekufaa kama angekuoa kbs... Ndani ya ndoa utapambana siku ziende...mana siku utapata mtu hana mtoto ila kufanyana hajui au ana mambk flan ya ajabu huyafurahii inshort anakua hakuvutii kuspend time nae..
Marriage is a gamble u never get all u want and its okay...its life
Ila listen to your heart...mwisho wa siku..ht km utaingia cha kike usiwe na regrets
 
my dear mtu ana watoto watano na baby mamas watatu ningeishije hapo? sio kwamba nachagua sema ndo hivo naangukia cha kike. kukojoleshwa kupo tu bna ila jamaa alikuwa msweeti sio utani
 
my dear mtu ana watoto watano na baby mamas watatu ningeishije hapo? sio kwamba nachagua sema ndo hivo naangukia cha kike. kukojoleshwa kupo tu bna ila jamaa alikuwa msweeti sio utani
We ungeishi ndoa ya mke mmoja..hao wengine sa ngapi upo nao?.unless km ni mwislamu hapo risk ni kubwa...kuolewa mwanaume ana watt ipo...japo 5 si mchezo... If he wanted to marry u kiukweli idadi ya watt isikutishe, tafta namna ya kuishi nayo...in life u get some u loose some
Wapo waume hawajazaa ht mmoja ila ndo kitandani dume goigoi hadi wake zao wanachepuka
 
jamaa hajatulia pia kumbuka alitoka kwangu akaenda kulala kwa baby mama 2!
 
Waweza chagua Sm things solve them wth silence..asbh wahi job,kuwa bize na nyumba yako,mumeo friends etc..piga kimya ishu Mf ishu za watt wa nje..au baby mama..we si ndo mke mwenye cheti...ndo unaishi nyumba ya mumeo...mnakutana ukubwani ulitegemea nini... Uvumilivu ndo huu....as long as the man provides for u,ana features flan unapenda,unaenjoy kuspend time na yeye and he can f.uck properly umepata a lot in life, be grateful....
 
We unaonekana mzinzi nuksi haiwezekani kila bwanako in matatizo
 
my dear unajua watoto watano kweli? kisa kukojozwa? hapana bna
 
my dear mtu ana watoto watano na baby mamas watatu ningeishije hapo? sio kwamba nachagua sema ndo hivo naangukia cha kike. kukojoleshwa kupo tu bna ila jamaa alikuwa msweeti sio utani

Mmmmh hata mim nakusupport bora ulivyoachana nae tuuu ...... yaani inakuwaje ashindwane na bbyMama 3 wote ,
 
Mmmmh hata mim nakusupport bora ulivyoachana nae tuuu ...... yaani inakuwaje ashindwane na bbyMama 3 wote ,
hapo sasa? pia ndoa ingekuwa haina amani past ingekuwa inatufata sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…