Joao de Matos
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 334
- 268
Habari wanajamii forum.
Nimekuwa na maswali mengi kuhusu Unapotafuta mke. Na inapofika hatua ya kumpenda binti flani na kumueleza hisia zako za kutaka kuwa nae, hivi Ni sahihi kumueleza Moja kwa moja kuwa unataka kumuoa?
Maana kuna vitu najiuliza, kwamba wakati mwingine inaweza kuwa njia rahisi ya kupata mtu ambaye anania na ndoa kabisa.
Au wakati mwingine unaweza kupata mtu ambaye yeye kwanza anahitaji ndoa tuu na SI kukupenda wewe Kama wewe , yeye Ni hitaji lake Ni ndoa tuu. Na watu wa namna hi wanaweza kukuonyesha mapenzi fake ilimaradi umuoe tuu.
Na kuna kipindi ninaona si vyema kumueleza Moja kwa moja nia yako , Ni vyema ukaingia naye kwanza kwenye mahusiano ya urafiki kwanza.
Sasa ni sahihi kumueleza Moja kwa moja nia yako kumuoa au uingie tuu urafiki ya kawaida kwanza.
Nawasilisha: Uzi tayari
Nimekuwa na maswali mengi kuhusu Unapotafuta mke. Na inapofika hatua ya kumpenda binti flani na kumueleza hisia zako za kutaka kuwa nae, hivi Ni sahihi kumueleza Moja kwa moja kuwa unataka kumuoa?
Maana kuna vitu najiuliza, kwamba wakati mwingine inaweza kuwa njia rahisi ya kupata mtu ambaye anania na ndoa kabisa.
Au wakati mwingine unaweza kupata mtu ambaye yeye kwanza anahitaji ndoa tuu na SI kukupenda wewe Kama wewe , yeye Ni hitaji lake Ni ndoa tuu. Na watu wa namna hi wanaweza kukuonyesha mapenzi fake ilimaradi umuoe tuu.
Na kuna kipindi ninaona si vyema kumueleza Moja kwa moja nia yako , Ni vyema ukaingia naye kwanza kwenye mahusiano ya urafiki kwanza.
Sasa ni sahihi kumueleza Moja kwa moja nia yako kumuoa au uingie tuu urafiki ya kawaida kwanza.
Nawasilisha: Uzi tayari