Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Hao nao wanapewa viburi na mashangazi na mamdogo zao labda kama unazungumzia yatima aliyeokotwa akiwa mdogo sana ndugu wengine hawajulikani,nayajua acha niishie hapa
 
AKIWA YATIMA ALAFU NI SINGLE MAZA VP TUOE?
 
Yatima maana yake ni mtoto aliyefiwa na wazazi wake wote wawili. Kama baba au mama yupo huyo siyo yatima. Na kama wazazi wako hai lakini hawamhudumii mtoto naye siyo yatima.
 

Haya mambo hayana formula rafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kuwa kama mimi japo mimi sijaoa yatima ila ninaishi maisha mazuri na yenye furaha tele na mke wangu
 
Hongera ila nao huwa wanaruka ukuta nina ushahidi mwingi tu
 
Mungu ana nafasi maalum katika moyo Wake kwa yatima na wasio na baba (Kumbukumbu la Torati 24:20; Yeremia 49:11; Yakobo 1:27). Zaburi 27:10
Zaburi ya 68: 5 inasema, "Baba ya yatima, mtetezi wa wajane, ndiye Mungu katika makao yake matakatifu.
 
Siku mkiujua mzizi wa tatizo tutakuwa tumesolve 60% ya matatizo yote ya mahusiano.

Tabia ya ukubwani ni reflection ya tabia/mazingira mtu aliyokulia utotoni, kwa kuelewa au kutokuelewa ndiyo yanayomfanya mtu awe alivyo ukubwani. Na inaenda mbali zaidi, namna ambavyo mhusika ameelewa changamoto zake na kuamua kuzifanyia kazi.

Mwingine kwa kukosa familia utotoni anapokuwa mkubwa anathamini sana familia, ni kitu anachoweza kukifia, na familia bora inaanzia na ndoa bora. Kwa upande mwingine, mtu aliyekosa familia udogoni na pengine akalelewa kwa manyanyaso anaweza kuwa na roho ngumu/mbaya sana ukubwani, au akawa wa baridi (cold hearted) ambao ni watu hatari sana. The reason watu wanasumbuana sana katika mahusiano yoyote yale iwe ndoa, urafiki, ujirani, makazini etc ni sababu tunadeal na mashetani yaliyojivika ngozi za binadamu.

Kwahiyo mkuu circumstances yako haitoshi kudraw conclusion na kuitumia kutolea ushauri.
 
90% ya wanawake huwa viburi wanapokua na plan B kwenye maisha. Ndio maana wenye akili huoa wasio na elimu, kazi, pesa, wanaotokea maisha magumu nk ili waweze kuishi nao vyema. Kwahio leo tunaongeza na yatima kwenye list. Angalizo tusiwanyanyase ni dhmbi tuishi nao kwa amani maana wanawake wanye sifa hizo huwa wanyenyekevu sana
 
We muombe Mungu azid kuwapa amani baraka na upendo chief ndoa haina formula. Mi naamin ukitaka mke bora muombe Mungu tu hakika atakupa hitaji la moyo wako. Kumbuka mali na urithi mtu ataupata kwa babae bali mke bora hutoka kwa Bwana. Hii kitu ni serious ishu aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…