Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
- Thread starter
- #101
Ila mayatima wako vizuriMnatuchanganya
Mara tuoe bikra, ukigeuka huku mara tuoe wakurya.
Mara tuoe mabeki 3
Leo mnatuambia mayatima tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mayatima wako vizuriMnatuchanganya
Mara tuoe bikra, ukigeuka huku mara tuoe wakurya.
Mara tuoe mabeki 3
Leo mnatuambia mayatima tena
Hao ogopa kama ukoma mkuuDaaah update mwanamke ambaye amelelewa na single mother[emoji848]. Ni mtihani aisee
Kwamba Yatima HADEKI[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtanange bado mbichi
Yatima maana yake ni mtoto aliyefiwa na wazazi wake wote wawili. Kama baba au mama yupo huyo siyo yatima. Na kama wazazi wako hai lakini hawamhudumii mtoto naye siyo yatima.Sio kila yatima anakua hivyo Mimi sitaki kusimulia, kwanza unazungumzia yatima yupi anaeishi na Mama yake au aliefiwa na wazazi wote Mama na Baba?
Maana yatima au binti anaeishi na Mama yake alafu Baba kafari au wanakwambia tu Baba hajulikani jaribu kufuatilia tabia za Mama usije ukaoa bomu la dakika,
Ukienda kuoa angalia nani mwenye kauli kwenye familia kati ya Baba na Mama, ukiona Mama ndio mwenye kauli kijana jiandae kisaikolojia hapo jiandae kuburuzwa maana huyo binti kakopi familia yake inavyoendeshwa kimama Mama, ukikuta mwenye kauli ni Baba Oa fasta tena usiulize mahari mara 2 na usiweke hata deni maliza ingawa wanasema mahari haimalizwi
Hongera kuwa kama mimi japo mimi sijaoa yatima ila ninaishi maisha mazuri na yenye furaha tele na mke wanguMiaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi
Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana
Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
Formula hio hapo, ukikuta Mama ana kauli kuliko Baba jiandae kisaikolojia,
We humjui yatima,Yatima maana yake ni mtoto aliyefiwa na wazazi wake wote wawili. Kama baba au mama yupo huyo siyo yatima. Na kama wazazi wako hai lakini hawamhudumii mtoto naye siyo yatima.
Hongera ila nao huwa wanaruka ukuta nina ushahidi mwingi tuNi kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu,
Next step mtaambiwa oeni HAMASMnatuchanganya
Mara tuoe bikra, ukigeuka huku mara tuoe wakurya.
Mara tuoe mabeki 3
Leo mnatuambia mayatima tena
Unakosaje hela wakati dunia iko hapo kukupa kile unachokita?Kosa hela alafu uje urudie kusoma ulicho andika hapa kwa sauti..
We muombe Mungu azid kuwapa amani baraka na upendo chief ndoa haina formula. Mi naamin ukitaka mke bora muombe Mungu tu hakika atakupa hitaji la moyo wako. Kumbuka mali na urithi mtu ataupata kwa babae bali mke bora hutoka kwa Bwana. Hii kitu ni serious ishu aisee.Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi
Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana
Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
kivp mkuu wakat nimesema nimeoa yatima, ambae hana mama wala babaNi Kipofu au anaona?