Wanaume oeni yatima, hamtojutia

There is point ktk hii mada na haya maelezo yako.
Huku mtaani tunasema ytaima hadeki. Siyo ku mop, noo hajidekezi. Na huwa upendo wao wote uko kwa familia yake. I have a proof of this. Na hapa siyo yatima wa baba na mama tu. Unaweza kukuta kuna familia fulani ilipata matatizo na ikawa kama imetengwa na ndugu wengine wakawa wao kama wao.

Yaani wakaishi maisha ya uyatima fulani. Huwa love yao ni kwa family kwanza koz wanajua familia ni kila kitu kwao. Yaani hapo ndo uoe hapa na Mungu akujalie wanahofu ya Mungu. Aisee utafurahi sana. Shida ni pale unapomletea mapicha picha ya kutokuwa mwaminifu au kutaka kuachana Dua zao zinasikika kwa haraka zaidi huko juu
 
Uko sahihi kwa maana ya kitabuni. Ila kumbuka jamii tofauti tofauti huwa zina maana zake kulingana na jamii hizo. Kwa mfano ktk jamii zetu sisi mtu akifiwa na baba uyatima wake ni mkubwa kuliko kufiwa na mama. Mtu akifiwa na mazazi mmoja bado ni yatima hata akifikisha miaka 18. Tena hata ktk vikao vya familia utasikia hao watoto waacheni kabisaa ni yatima hao. Na hapo mmeenda na wake zetu. Kwanza mkikutana ktk vikao kuna ndugu wanalia kwa kukumbuka vifo vya dada zao au kaka zao ambao nyinyi ndo walikuwa wazazi wenu
 
Still no formula ni kama maji ukiyaweka kokote shape inabadilika ni kuomba tu Mungu akupe mwenza ambaye mtaendana endana....wewe hujakamilika......mwenzako pia hajakamilika ukielewa Hilo utasolve shida nyingi sana
 
Mkuu,
Umesomea maswala ya kijamii?
 
ukioa yatima ujue wewe ndio baba yake na mama yake, ukifanya jambo akahisi unamwonea huwa wanakasirika kwa muda mrefu sana..... wanalia lia sana hawa!
 
Halafu Mungu anawabariki mabinti... watakaa nyumbani mpaka wazazi wake mfe at 70 huko....

Yani kuchagua kwako mwanamke wa hovyo or labda kushindwa kusimama imara kama kichwa wa familia kwenye nyumba yako ndo mnaleta viushauri vya kijinga jinga
 
Dah mkuu mbona msala yaani Kila manzi nikimla nimuulize status yake kama ni yatima au lah?.Umeokota dodo chini ya mpapai enjoy,kimya kimya.
 
mwwnye mama siyo yatima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…