Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Kwa hiyo nyumba yako inakuwa kituo cha kulelea watoto yatima?
 
Mambo haya hayana formula..
Unaweza pata yatima akawa mtihani, unaweza kuoata mtoto wa kiongozi wa dini kabisaaa, au nae anaijua dini ila tabia halisi ikawa mtihani.

We ukipata anaekupa furaha na kwake unajisikia ni mwanaume haswa, weka ndani
 
Ma mdogo una kitu; utafika mbali sana. Mimi[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kila siku mnagundua mambo mapya...
Yaaani hampoi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Akili zinatuchaji kama tumekula ubwabwa wa Hashimu Rungwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kupitia uzi huu ni dhahiri Mwanaume anapotaka kuoa anaoa AMANI YA NAFSI YAKE akiikosa ndio anaungana rasmi na CHAMA CHA WAKATAA NDOA[emoji3]
 
Huku wanawake nao wakiwa na agenda ya kuole na mwanaume aliyefiwa na wazaz wote
Kama wapo hai hakuna ndoa
Purukushan za mamkwe no
Mambo ni mvurugano🤣😅
 

Na bado mpk mseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…