Siku mkiujua mzizi wa tatizo tutakuwa tumesolve 60% ya matatizo yote ya mahusiano.
Tabia ya ukubwani ni reflection ya tabia/mazingira mtu aliyokulia utotoni, kwa kuelewa au kutokuelewa ndiyo yanayomfanya mtu awe alivyo ukubwani. Na inaenda mbali zaidi, namna ambavyo mhusika ameelewa changamoto zake na kuamua kuzifanyia kazi.
Mwingine kwa kukosa familia utotoni anapokuwa mkubwa anathamini sana familia, ni kitu anachoweza kukifia, na familia bora inaanzia na ndoa bora. Kwa upande mwingine, mtu aliyekosa familia udogoni na pengine akalelewa kwa manyanyaso anaweza kuwa na roho ngumu/mbaya sana ukubwani, au akawa wa baridi (cold hearted) ambao ni watu hatari sana. The reason watu wanasumbuana sana katika mahusiano yoyote yale iwe ndoa, urafiki, ujirani, makazini etc ni sababu tunadeal na mashetani yaliyojivika ngozi za binadamu.
Kwahiyo mkuu circumstances yako haitoshi kudraw conclusion na kuitumia kutolea ushauri.