Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Hivi kwanza leo wanaume niambieni NI KWANINI WANAUME WENGI HUWA MNANUKA KIMBUZI MBUZIII? YAANI UKIPISHANA NA WANAUME WATATU BARABARANI BASI MMOJA AU WAWILI ANANUKA KIBEBERU BEBERU,JE HIYO HUTOKANA NA NINI?
Hizi mada ni pana sana, sbb zinatawala mambo ya hisia.
Kifupi wewe waweza sema mtu huyu ananuka, halafu mwingine kwa harufu hiyohiyo akasikia kunukia. Hapo tunajadilije?
Tukija upande wenu kei, ndousiseme kabisaa. Mtu mzuri kaumbika haswa, kajaliwa na michura makubwa, hebu mjaladue. Utakayokutana nayo huko, afadhali ya kuvunja tray zima la mayai viza ya kienyeji.
Unabakia kujiuliza, hivi huyu mdada anajitambua? Hajisikii mwenyewe kunuka?
Halafu kuvamia mtu kumueleza kero uloipata kwake inayohusu uchafu wake, ni mtihani.
Ikiwa ni mimi ikanitokea hali hiyo,kifupi sifanyi, maana nitapoteza "mood" yaani kabisa hata nijifarague kulumangia ugali kwa picha ya samaki, haitawezekana. Hapo ndiyo inakuwa ni mwisho wa baby na darling bila kujali nimepoteza nini na kiasi gani kufukuzia, regardless hata kama nimetoa mahari, potelea kwa mbali.
 
Hizi mada ni pana sana, sbb zinatawala mambo ya hisia.
Kifupi wewe waweza sema mtu huyu ananuka, halafu mwingine kwa harufu hiyohiyo akasikia kunukia. Hapo tunajadilije?
Tukija upande wenu kei, ndousiseme kabisaa. Mtu mzuri kaumbika haswa, kajaliwa na michura makubwa, hebu mjaladue. Utakayokutana nayo huko, afadhali ya kuvunja tray zima la mayai viza ya kienyeji.
Unabakia kujiuliza, hivi huyu mdada anajitambua? Hajisikii mwenyewe kunuka?
Halafu kuvamia mtu kumueleza kero uloipata kwake inayohusu uchafu wake, ni mtihani.
Ikiwa ni mimi ikanitokea hali hiyo,kifupi sifanyi, maana nitapoteza "mood" yaani kabisa hata nijifarague kulumangia ugali kwa picha ya samaki, haitawezekana. Hapo ndiyo inakuwa ni mwisho wa baby na darling bila kujali nimepoteza nini na kiasi gani kufukuzia, regardless hata kama nimetoa mahari, potelea kwa mbali.
Mkuu unaweza kwenda choo cha stendi halafu ukasema pananukia?
 
Hizi mada ni pana sana, sbb zinatawala mambo ya hisia.
Kifupi wewe waweza sema mtu huyu ananuka, halafu mwingine kwa harufu hiyohiyo akasikia kunukia. Hapo tunajadilije?
Tukija upande wenu kei, ndousiseme kabisaa. Mtu mzuri kaumbika haswa, kajaliwa na michura makubwa, hebu mjaladue. Utakayokutana nayo huko, afadhali ya kuvunja tray zima la mayai viza ya kienyeji.
Unabakia kujiuliza, hivi huyu mdada anajitambua? Hajisikii mwenyewe kunuka?
Halafu kuvamia mtu kumueleza kero uloipata kwake inayohusu uchafu wake, ni mtihani.
Ikiwa ni mimi ikanitokea hali hiyo,kifupi sifanyi, maana nitapoteza "mood" yaani kabisa hata nijifarague kulumangia ugali kwa picha ya samaki, haitawezekana. Hapo ndiyo inakuwa ni mwisho wa baby na darling bila kujali nimepoteza nini na kiasi gani kufukuzia, regardless hata kama nimetoa mahari, potelea kwa mbali.
Usilukie kusikokuhusu, mada inahusu kina kaka wewe hayo ya wanawake tafuta Uzi wa wanawake ujadiri
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Hujui tuu unavyonuka mikojo. Jamaa akiwa chumvini anavumilia mengi sana. Jitahidi ukiwa unafua chu....pi uwe unamfulia Boxer.
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Kwani unawanusa nusa hizo nyeti ? Acha uroho.
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Au labda unawachukuwa wachuuzi wa samaki ferry ?
 
Na huyo handsome wako maskini kumbe ndo hafuagi boxer[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Mkuu unaweza kwenda choo cha stendi halafu ukasema pananukia?
Mwenzangu! Nikupe expousure ya nilicho"comment" mkuu.
Nilipokuwa usukumani kuna mila'flan ziliniliistaajabisha sana na kubaki mdomo wazi, nisiamini hadi baadae nilivyokuja"confirm"!
Kule kuvaa nguo mpya na nzuri ni jadi.
Lakini linapokuja suala la usafi wa mwili kwa pande zote ni sifuri.
Kutokana na maadili nashindwa kunyoosha lugha vizuri ili unielewe sawasawa.
Kuna ile natural smell, wazoefu inaieleweka, hakuna tatizo na hakuna kero.
Sasa yaweza kuwa 2days without washing completely, smell inayozalishwa pale, ndiyo harufu inayotakiwa na ndiyo inaitwa harufu ya kike. Nilistaajabu sana. Na hakuna wa nafuu, ni mila.
Hali hiyo ilinivuruga saikolojia sana, ilipelekea nikapata kau-"interim impotance" hadi nilivyorejea Dar, ndiyo kuliona "jua" na nd'o ponapona yangu!
Ndiyo kisa cha kusema, kwa harufu hiyohiyo unayodai wewe kunuka, kwa mwenziyo yaweza kuwa ni kunukia!
 
Usilukie kusikokuhusu, mada inahusu kina kaka wewe hayo ya wanawake tafuta Uzi wa wanawake ujadiri
Tunakwenda na vyote maana vinabebeka tenga1. Lady AJ nime-confuse Avatar yako nikidhani naanza kushambulia Lady J dee completely!
 
Back
Top Bottom