D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,919
- 1,094
Ngumu kumesaNyie ndio msafishe zenu!! Mmekalia kusafisha USO tuu na kuacha nyeti zenu zikiwa zimejaa fungus na UTI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu kumesaNyie ndio msafishe zenu!! Mmekalia kusafisha USO tuu na kuacha nyeti zenu zikiwa zimejaa fungus na UTI.
So my business is to clean my chupi?Non of your business
Yeuwiii kumbe huwa wanatuchamba bure tu na vi dyudyu vyao vinanuka chaaaa nimechekajeEnyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Hivi kwanza leo wanaume niambieni NI KWANINI WANAUME WENGI HUWA MNANUKA KIMBUZI MBUZIII? YAANI UKIPISHANA NA WANAUME WATATU BARABARANI BASI MMOJA AU WAWILI ANANUKA KIBEBERU BEBERU,JE HIYO HUTOKANA NA NINI?Km amejumlisha bx ww ni malaya mana kila unayekutana naye yupo hvyo km n mmoja tu na unampenda kwnn ucmssfishe mpenzio kuja humu na kusema ndo nnn kenn ucmwambie huko mnakokutana, ww unazan kw ugumu huu wa maisha ya mzee wet utakumbuka hbr ya kuchenji Elf 10 kwajil ya topaz