Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Hizi technique za kutafuta KIKI zmezidi,Mlenge Mhusika sio unaGeneralize tu Ivyo na kama unapata wanaume wa sampuli hio na wee utakua Ivyo Bila shaka [emoji41]Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Mapenzi ndo kama hvyo kuhudumiana wenyewe wanasema mwanaume ni kama mttoNaanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
*Magoli-kipaKazi ya kunyoa midume inafanywa na wanawake magorikipa
Mkuu.....Ha ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.
Maneno haya akiyasikia Bi Zai Shanga.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
Teh teh mume ataka malezi sio mambo ya kihuni,
Hata mimi nampa POLE.
Hv monicca siutulie ww siumeolewa ww au ushaachika umejuaje hizo boxer chafu au ya jamaa ndio chafu af anafuga rastaEnyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.
Hayo ni mahaba ya kuchunwa pesa, hakuna kingine.View attachment 407094
Tunapenda kama hivi...[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Umeshauriwa kitu kizuri kwani mwanaume anahitaji matunzo kama ana nuka na hanyoi inabidi umfanyie ukarabati wewe maana akitoka nje mchafu watu watakushangaa weweJina lako lenyewe mwajuma ndala ndefu
BUsara nyingi,umeitakatisha siku yanguHa ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.
WamesikiaEnyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.
Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.
Uhandsome ni pamoja na usafi.