Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

JF msipomtunuku huyu dada hata cheti cha kujaza server mtakuwa na roho ngumu kama CHAJE
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
..Hizi technique za kutafuta KIKI zmezidi,Mlenge Mhusika sio unaGeneralize tu Ivyo na kama unapata wanaume wa sampuli hio na wee utakua Ivyo Bila shaka [emoji41]
 
Kwa mfano unaenda Kwa mkeo unakuta Hali hii kitandani na unajua kabsa unasiku kadhaa haujafika nyumbani kulingana na kazi zako za kila siku unarudi nyumbani baada ya week moja,je ni uamuzi gani utachukuwa

1474887328684.jpg
 
Ha ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.
Mkuu.....
Naomba nitangaze nia hapa...[emoji39] [emoji39]
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Hv monicca siutulie ww siumeolewa ww au ushaachika umejuaje hizo boxer chafu au ya jamaa ndio chafu af anafuga rasta
 
Hayo ni maua kwa ajili ya kupendezesha mahali anapoishi Mr. Cobra !! Na pia ni washangiliaji wazuri wakati Mr. Cobra anazama ndani ya chupa kutema mate.
 
Jina lako lenyewe mwajuma ndala ndefu
Umeshauriwa kitu kizuri kwani mwanaume anahitaji matunzo kama ana nuka na hanyoi inabidi umfanyie ukarabati wewe maana akitoka nje mchafu watu watakushangaa wewe
 
Pole jamani umedate mvulana ndio maana... Siku nyingine date mwanaume Dada Monicca
 
Ha ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.
BUsara nyingi,umeitakatisha siku yangu
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Wamesikia
 
Back
Top Bottom