Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Pole kwa kupata bwana mchafu.
 
Naanzaje kulinyoa baba zima na ndevu zake?
Honeymoon si iliisha juzi juzi, kwanini baada ya hapo hukumnyoa na kumnunulia kila kitu ukitakacho. kwenye zawadi hukupata aftershavings na vikorombwezo vingine. Monimoni moni unless kuna mtu kakutuma kila mtu humu anajua mwanangu/mdogo wangu uliolewa ulitutangazia sasa tunahisi kitchen party haikufanikiwa. Adios.
 
ndege wafananao huruka pamoja.....jaribu kubadilika utapata wasafi
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Yule mume wako kicheche ushamuacha sasa umepata mchafu?? Bora uje kwangu maana mimi si mchafu.
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Dawa ni moja tu wanyoe vuzi lote hadi kwenye anus then wapakae mafuta ya ndimu tatizo loote kwishaa
 
Ha ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.

asmaa80;
Ningejua kwako ningeleta posa. Una hekima mpaka baasi. Umempa ushauri toshelezi kabisa na akiufuata hakika hatapata taab yeyote.
Inaonesha huyu monica ana vidume uchwara saana. Alipomlopoa huyu akakuta ni sawa na yule wa juzi na wa jana. Sasa akadhani kila dume ndivyo alivyo. Hapana. Ka uliyempata umeamua kukaa naye, fanya ulivyo shauriwa na huyu "kungwi".
Siwezi kusema k zoote ni mtera kwa sababu ya huyu niliye mbahatisha kwenye kituo cha bus.
 
Monicca mara nafunga ndoa kesho, mara ndoa tamu kila mara baby, mara mbegu zinaniunguza, mara mume wangu anamichepuko mingi, mara wanaume na uchafu sijui kesho utakuja na nini?
 
inawezekana hata wewe ukawa unanuka mdomo au kikwapa na hujijui,sema jamaa hakuaniki tu huku mitandaoni
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Monicca wewe kila siku unakutana na wanaume wenye kasoro,una mkosiiii?
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Na nyinyi kina dadaz kuweni wasafi...aseee.....coz una kuta umemtongoza demu akakubali sasa wakati wa LIGI......nyeti inanuka harufu ya dagaa wabichi....lolh.......xo...in vice versa...na nyie kuweni wasafiiii.....etiiiiiii......
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Huo ugonjwa unaitwa 'pumbuyeye'... Made in Shule za Boarding.
 
Hahaaa handsome kakuponza kufika room ukakuta ni dampo poleee saaaana...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom