Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
Weka picha za maeneo yako kwanza, isije kuwa we mwenyewe mchafu!
 
Duuh!!inaonekana wanaume wote uliokutana nao walikua hivyo,na wewe upo hivyo pia,ndege wanao fanana hupaa kundi moja so sio wanaume wote.
 
Kwanza naona wala hujui kazi ya hizo nywele na pia hujawahi zama chumvini. Huzami kutafuna bali kunyonyaaa na kulambaaa sasa hizo vijiti utazitumia kwa vipi?? Zile nywele nkizikuta hana ruksa kuzinyoa muda wote akiwa na miye. Ntanyoa zangu zake zidumu kwa kazi yangu maalum
hivi ukizama chumvini unalamba na kumeza au
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.

Njoo kwangu me kijana handsome na hizo sehemu nanyoa almost kila cku yani ni smooth kama upara, usilalamike sana monicca
 
Mmmh! hili nao ni la kuja hapa? Si umnyoe sweetie wako badala ya kuja kumsema huku!
 
Tabia ya usafi haina jinsia ni wote wake kwa waume,na kwa thread hii kwa vyovyote vile mlengwa hapa ni mtu uliye naye kwenye mahusiano kwa sasa.Nakushauri ni bora huyo jamaa yako umwambie direct la sivyo ataendelea kukukera.
 
Jaman hata nyie wakike sio tu kufua chupi ila huko chin mhhh paka mtu unaomba sense akaoge kila baada ya moja mhh sasa paka mtu aneza kuona huwez mambo lakin tuuuu sio kwa harufu hiyoo
 
Karne hii ambayo kila kitu kipo,unanukaje boxer,unanukaje sox,unanukaje kwapa,roll on zote!
Uchafu wa asili huo
 
We kila anaekutia
1475519159748.jpg
unakuja kutulalamikia humu
 
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahid angalau mfue boxer zenu kila Siku , nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi chu..pi zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
nani ankuambia unyonyeeee?
 
Back
Top Bottom