Wanaume sasa tuacheni malalamiko na badala yake tuongeze juhudi kwani hakuna chochote kitakachobadilika

Saint anne, Mimi nna baba zangu wadogo wamezaliwa Dar sehemu pekee waliowahi kukanyaga nje ya Dar ni mlandizi Pwani, na umri wao ni zaidi ya miaka 50.

Watu kama hawa wakija mikoni wanahisi wako kifungoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana nia huyu mtu. kila siku anataka kuonewa huruma kutongoza hataki anaogopa na asema kabisa kuwa hana ujasiri. Hakuna huruma kwenye kupewa uchi..fight to get it sio kukaa usubiri atokee mama huruma from nowhere

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa hili life is survival for fittest game even in pussy. Aache uzembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda mkuu kasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…