Naona mpwa antaka kujibebesha mzigo asio uweza, si ndo maana tunataka kumsaidia yeye anakua mkali....!! Muulize nnavyomtunzia mama hamsini hamsini huku changarawe!!Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa
Sasa wewe uchunwe mara ngapi maana umeishachunwa umebakizwa kucha tuIla tuache masihara,
Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!
kuchunwa ndo uanamume bana!!! lazima kuwe na utofautiIla tuache masihara,
Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!
Anakuwa mkali analazimishwa kuchunwa:laugh::laugh::laugh:Naona mpwa antaka kujibebesha mzigo asio uweza, si ndo maana tunataka kumsaidia yeye anakua mkali....!! Muulize nnavyomtunzia mama hamsini hamsini huku changarawe!!
ayaaaa!!!!Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:ayaaaa!!!!
hao walete huku bana!!
situmii ATM = waje kwenye container langu karibu na home......mm nazichapa naonyesha kila dalili za kuwapeleka, then ikifika saa saba, nazima! tuone kama hawatatafuta pikipiki (boda boda).
Ila tuache masihara,
Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!
Umeongea point LAKINI SIKUPI THANKS lol!
ayaaaa!!!!
hao walete huku bana!!
situmii ATM = waje kwenye container langu karibu na home......mm nazichapa naonyesha kila dalili za kuwapeleka, then ikifika saa saba, nazima! tuone kama hawatatafuta pikipiki (boda boda).
Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa
sasa homu boyi we utanakubali kuitwa ATM? tuachie sisi tuliozoea bana!! tuna majina mengi sana..Hivi umenionea Love the Nurse?
Ndo na mimi nagundua kwamba wapo wanao sabababisha wenyewe FL....mtu unakutana nae tu anaanza kukuonyesha wallet!!!
Ila tuache masihara,
Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!
Ndo uanaume huo kukulisha na kukunyeshwa kisha kukulaza wewe ulitaka ufanye wewe hivyo? sasa nani atakuwa mwanaume?
Babu na wajukuu huyo....... unajua kuna kaukweli fulani hivi..wanaume ni bread earners for the family...na asipohudumia anajisikia kama kitu kimepungua hivi kwake. Na ndo maana wanaume wengi hawaoi wanawake wenye kipato kikubwa kuliko wao, why? ili yeye ndo aonekane muhudumiaji wa familia! Si kweli babu Asprin??
Hii mtindo wa kuwaita wanaume ATM unawaboa sana kusema ukweli...hata mimi kama mdada siufagilii.Achili mbali huwaita hata kuwatumia kama ATM nayo inatufanya wadada tunadharauliwa wakati mwingine.
Kuna marafiki zangu wawili niliwatambulisha wiki chache zilizopita.Mkaka wa watu akawa amedata haswa....kila saa kumuulizia binti.Kiukweli kaka alikua anataka mahusiano yanayoeleweka na sio kuchezeana.Wakakutana mara mbili tatu mkaka akaendelea kudata.
Siku ya siku kaka akamwalika mdada chakula cha jioni ali wapate muda wa kuongea kidogo...mdada akaja na shoga yake.Yule kaka akaboreka ila akapotezea tu.Hata akijaribu kuongea na mambo ya maana mdada akili yote kwenye mambo ya starehe tu...nayo akapotezea.Alipokuja kuharibu ni kuanza kuulizia vocha...tena kwa kudemand....yani yule kaka alichoka.Kwasababu kumpigia hampigii...akitaka kuongea nae anaweka utoto mwingi ila wakati akitaka lift na vocha ndo haishi kubeep apigiwe.
Yule kaka alikuja kuniambia yule rafiki yako kwakweli nimemshindwa.Naweza kuelewa kwamba bado hajaweka maisha yake kwenye mstari ila atleast angekua anaonyesha nia badala ya kushinda akiomba pesa ningempa muda.
Newayz nnachojaribu kusema hapa ni kwamba wadada fanyeni kazi...na hata kama huna sio mtu hata bado hamjawa karibu sana tayari umeshaanza kua omba omba.Unajipotezea mwenyewe bahati....mwanaume mwenye nia anataka mwanamke mwenye nia na anae eleweka!!Acheni kuwatumia wakaka wa watu...mpende kama umempenda na sio kumendea vijisenti vyake alivyotolea jasho!!!
Nawakilisha!!!