Wanaume sio ATM!!!

Wanaume sio ATM!!!

Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa
Naona mpwa antaka kujibebesha mzigo asio uweza, si ndo maana tunataka kumsaidia yeye anakua mkali....!! Muulize nnavyomtunzia mama hamsini hamsini huku changarawe!!
 
Ila tuache masihara,

Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!
 
Naona mpwa antaka kujibebesha mzigo asio uweza, si ndo maana tunataka kumsaidia yeye anakua mkali....!! Muulize nnavyomtunzia mama hamsini hamsini huku changarawe!!
Anakuwa mkali analazimishwa kuchunwa:laugh::laugh::laugh:
 
Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa
ayaaaa!!!!
hao walete huku bana!!
situmii ATM = waje kwenye container langu karibu na home......mm nazichapa naonyesha kila dalili za kuwapeleka, then ikifika saa saba, nazima! tuone kama hawatatafuta pikipiki (boda boda).
 
ayaaaa!!!!
hao walete huku bana!!
situmii ATM = waje kwenye container langu karibu na home......mm nazichapa naonyesha kila dalili za kuwapeleka, then ikifika saa saba, nazima! tuone kama hawatatafuta pikipiki (boda boda).
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
ayaaaa!!!!
hao walete huku bana!!
situmii ATM = waje kwenye container langu karibu na home......mm nazichapa naonyesha kila dalili za kuwapeleka, then ikifika saa saba, nazima! tuone kama hawatatafuta pikipiki (boda boda).

Ndo maana nakukimbiaga mapema lol!!
Intelijensia yangu inafanya kazi vizuri.
 
Hao watano kila mmoja anakula mnyama kilo moja jumla inakuwa kilo tano, halafu wanakunywa castle light si unajua ambavyo hazileweshi wanaweza kunywa hata kumi na tano kila mmoja kwa jumla ni castle light 45, halafu wawili wanakaa airport teksi hadi kule elfu 20 hao wengine watatu wanakaa Tegeta teksi hadi huko elfu 30 sijui jumla hapo bili inakuja shilingi ngapi mpwa

Kwa hesabu za fasta fasta hapo inabidi ATM utoe jiwe 5 hivi ili uwe huru hata unapo agiza.

Hivi demu siku ya kwanza tu anakuja na shangazi yake pembeni binamu yake alafu wanakunywa Heineken mazee
 
Lizzy labda wapo wamekaa Ki ATM zaidi ila jina kweli ni la kudhalilishana

Ndo na mimi nagundua kwamba wapo wanao sabababisha wenyewe FL....mtu unakutana nae tu anaanza kukuonyesha wallet!!!
 
sasa homu boyi we utanakubali kuitwa ATM? tuachie sisi tuliozoea bana!! tuna majina mengi sana..Hivi umenionea Love the Nurse?

Love yupo busy anaandaa chakula cha usiku hommie

Lakini kuchunwa ni uanaume sasa usipo chunwa si utakuwa unalelewa kama mtoto wa kiumeni
 
Ndo na mimi nagundua kwamba wapo wanao sabababisha wenyewe FL....mtu unakutana nae tu anaanza kukuonyesha wallet!!!

Ndo uanaume huo kukulisha na kukunyeshwa kisha kukulaza wewe ulitaka ufanye wewe hivyo? sasa nani atakuwa mwanaume?
 
Fynest...Fidel...Bigie na babu mzima Asprini nataka kuripoti abyuzi kwa uchakachuaji wa thread!!!Siku hizi hilo ni kosa la jinai na adhabu yake ni ban!!!!Msamaha utafikiriwa huku nikiendelea kupokea Thanks!!!:coffee:
 
Ila tuache masihara,

Mi mwanamke asiponichuna sijisikii raha!

Babu na wajukuu huyo....... unajua kuna kaukweli fulani hivi..wanaume ni bread earners for the family...na asipohudumia anajisikia kama kitu kimepungua hivi kwake. Na ndo maana wanaume wengi hawaoi wanawake wenye kipato kikubwa kuliko wao, why? ili yeye ndo aonekane muhudumiaji wa familia! Si kweli babu Asprin??
 
Ndo uanaume huo kukulisha na kukunyeshwa kisha kukulaza wewe ulitaka ufanye wewe hivyo? sasa nani atakuwa mwanaume?


Nataka nifanye mwenyewe!!!Nifanyiwe yote hayo ya nini wakati viungo vyote vya kufanya kazi nimepewa???:twitch:
 
Ndo uanaume huo kukulisha na kukunyeshwa kisha kukulaza wewe ulitaka ufanye wewe hivyo? sasa nani atakuwa mwanaume?

This is what I am talking....mwanaume hajiskii kukamilika kwamba yeye ni mwanaume asipohuhudumia....! So dada Lizzy..wewe unawatetea bure hawa jamaa....wanajiskia raha sana kuitwa ATM.....
 
Babu na wajukuu huyo....... unajua kuna kaukweli fulani hivi..wanaume ni bread earners for the family...na asipohudumia anajisikia kama kitu kimepungua hivi kwake. Na ndo maana wanaume wengi hawaoi wanawake wenye kipato kikubwa kuliko wao, why? ili yeye ndo aonekane muhudumiaji wa familia! Si kweli babu Asprin??

Kwani nani kichwa cha familia?
 
Hii mtindo wa kuwaita wanaume ATM unawaboa sana kusema ukweli...hata mimi kama mdada siufagilii.Achili mbali huwaita hata kuwatumia kama ATM nayo inatufanya wadada tunadharauliwa wakati mwingine.

Kuna marafiki zangu wawili niliwatambulisha wiki chache zilizopita.Mkaka wa watu akawa amedata haswa....kila saa kumuulizia binti.Kiukweli kaka alikua anataka mahusiano yanayoeleweka na sio kuchezeana.Wakakutana mara mbili tatu mkaka akaendelea kudata.

Siku ya siku kaka akamwalika mdada chakula cha jioni ali wapate muda wa kuongea kidogo...mdada akaja na shoga yake.Yule kaka akaboreka ila akapotezea tu.Hata akijaribu kuongea na mambo ya maana mdada akili yote kwenye mambo ya starehe tu...nayo akapotezea.Alipokuja kuharibu ni kuanza kuulizia vocha...tena kwa kudemand....yani yule kaka alichoka.Kwasababu kumpigia hampigii...akitaka kuongea nae anaweka utoto mwingi ila wakati akitaka lift na vocha ndo haishi kubeep apigiwe.
Yule kaka alikuja kuniambia yule rafiki yako kwakweli nimemshindwa.Naweza kuelewa kwamba bado hajaweka maisha yake kwenye mstari ila atleast angekua anaonyesha nia badala ya kushinda akiomba pesa ningempa muda.

Newayz nnachojaribu kusema hapa ni kwamba wadada fanyeni kazi...na hata kama huna sio mtu hata bado hamjawa karibu sana tayari umeshaanza kua omba omba.Unajipotezea mwenyewe bahati....mwanaume mwenye nia anataka mwanamke mwenye nia na anae eleweka!!Acheni kuwatumia wakaka wa watu...mpende kama umempenda na sio kumendea vijisenti vyake alivyotolea jasho!!!

Nawakilisha!!!

LIZZY
Kwa maelezo yako huyo shoga alikuwa ni wewe. Sasa wewe umeshagundua kuwa kaka yuko serious anataka mahusiano ya kudumu na si ya kunyosha tuu viungo; kwa kulitambua hilo wewe umechukuliaje hiyo fursa; tayari mnafahamiana wewe tu ushindwe
 
Back
Top Bottom