Nimekuelewa asee......nakusubiriokei babu... yaani unasema..Hapuuk....si umesikia???, hebu rudia tena..Hapuuk! nafikri somo limeeleweka! kama bado itabidi nikija..nitapitia baadaye!
Nimekuelewa asee......nakusubiri
"Whoever claims to love God yet hates a brother or sister is a liar"
Nimeelwa hiki hapo chini. Nakihifadhi hapa kabisa manake huchelewi kubadili mawazo ukakinyofoa lolSasa babu umeelewa nini sasa???!!! shule ya Happuch au hilo somo la kwenye sahihi hapo??!!!
Nimeelwa hiki hapo chini. Nakihifadhi hapa kabisa manake huchelewi kubadili mawazo ukakinyofoa lol
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Keren_Happuch (Today)
Na Dawa ya Moto ni moto mkali zaidi:
The Following User Says Thank You to Keren_Happuch For This Useful Post:
Ni nzuri kabisa Kaizer..habari ya kwako? Je, na wewe wafurahia kuwa ATM kama babu yangu Asprin???
ya kwangu sio mbaya, ipo 90% hizo 10% ndo umezikamilisha hapa....ila kwen ATM hapo natofautiana na babu, yaani kuna wengine wanao multiple partners wanawaita 'vidumu'....
so for me I can do everything within my capacity....knowing there is mutual respect and understanding....
ofcos....my point ni kwamba wanaume wanajiskia vizuri wakiwahudumia wapenzi wao! Pia sikubaliana kwa multiple partners.... nafikiri hata babu yangu Asprin, anamhudumia bibi yetu mmoja tu!
ofcos....my point ni kwamba wanaume wanajiskia vizuri wakiwahudumia wapenzi wao! Pia sikubaliana kwa multiple partners.... nafikiri hata babu yangu Asprin, anamhudumia bibi yetu mmoja tu!
ofcos....my point ni kwamba wanaume wanajiskia vizuri wakiwahudumia wapenzi wao! Pia sikubaliana kwa multiple partners.... nafikiri hata babu yangu Asprin, anamhudumia bibi yetu mmoja tu!
Yaani Keren UNAFIKIRI au una uhakika?
Babu anamhudumia bibi yenu mmoja tu! na kudumisha mila na wajane kama inavyotupasa....hapa wajane ni wale wasiokua na wenza wao wa kuwapeleka kileleni.
Hapo ndo 'unapokosea' Karen.....LOL
Ni kweli, its our natural duty I would say...but nowadays it is being abused.....
Hii mtindo wa kuwaita wanaume ATM unawaboa sana kusema ukweli...hata mimi kama mdada siufagilii.Achili mbali huwaita hata kuwatumia kama ATM nayo inatufanya wadada tunadharauliwa wakati mwingine.
Kuna marafiki zangu wawili niliwatambulisha wiki chache zilizopita.Mkaka wa watu akawa amedata haswa....kila saa kumuulizia binti.Kiukweli kaka alikua anataka mahusiano yanayoeleweka na sio kuchezeana.Wakakutana mara mbili tatu mkaka akaendelea kudata.
Siku ya siku kaka akamwalika mdada chakula cha jioni ali wapate muda wa kuongea kidogo...mdada akaja na shoga yake.Yule kaka akaboreka ila akapotezea tu.Hata akijaribu kuongea na mambo ya maana mdada akili yote kwenye mambo ya starehe tu...nayo akapotezea.Alipokuja kuharibu ni kuanza kuulizia vocha...tena kwa kudemand....yani yule kaka alichoka.Kwasababu kumpigia hampigii...akitaka kuongea nae anaweka utoto mwingi ila wakati akitaka lift na vocha ndo haishi kubeep apigiwe.
Yule kaka alikuja kuniambia yule rafiki yako kwakweli nimemshindwa.Naweza kuelewa kwamba bado hajaweka maisha yake kwenye mstari ila atleast angekua anaonyesha nia badala ya kushinda akiomba pesa ningempa muda.
Newayz nnachojaribu kusema hapa ni kwamba wadada fanyeni kazi...na hata kama huna sio mtu hata bado hamjawa karibu sana tayari umeshaanza kua omba omba.Unajipotezea mwenyewe bahati....mwanaume mwenye nia anataka mwanamke mwenye nia na anae eleweka!!Acheni kuwatumia wakaka wa watu...mpende kama umempenda na sio kumendea vijisenti vyake alivyotolea jasho!!!
Nawakilisha!!!
Sasa hommie ndo unaamua kuniharibia mazima au?
hahaha hommie nimemkumbusha tu kwamba kuan kitu inaitwa mila na iheshimiwe na watu wote.....:rain:
Huyo babu kwisha kazi yake ATM yake inatoa hadi namba zimeishafutika hazionekaniHiyo safi TF...., ila unaweza ukapata ushauri kwa babu Asprin hapa..maana yeye anaijua siri ya ATM ya kutoa!
Lizzy nataka wikiendi hii niwe ATM yako ila kwenye kuweka tu sio kutoa ya kwangu imeruhusiwa kuweka tu.Jamani alitaka mwenyewe...siwezi kuzibia watu bahati zao!Bora washindwane wenyewe!Alafu sio C bwana..hajatulia tu!
Jamani alitaka mwenyewe...siwezi kuzibia watu bahati zao!Bora washindwane wenyewe!Alafu sio C bwana..hajatulia tu!
Hivi TF mbona hutaki nitoke ? nimechoka kuwa undagraundi Lizzy muone kama polisi wa Arusha vile,sawa ?Kipipimoyo mambo!!!!!!
Inabidi unywe kuanzia 2-3 miaka ya nyuma nilimualika demu mmoja mdogo wa umbo bar akaagiza safari kichwani nikasema ookaay,alipoagiza ya kumi na bado hajalewa nikasema nanunua vocha hapa nje nikatokomea lol!Poa kabisa dearest..vipi wewe?!Bia inapunguza mawazo bwana!
Lizzy nataka wikiendi hii niwe ATM yako ila kwenye kuweka tu sio kutoa ya kwangu imeruhusiwa kuweka tu.