Wanaume, siyo wakati wote ni wa kuwalaumu wanawake, kuna wakati sasa ni wa kuutumia 'uanaume' wenu

Wale wote ninaowapenda kuanzia ndugu/marafiki/mke/wazazi,nk hawawezi kujua kama nawapenda wala kuhisi

hisia zangu zinabaki moyoni huwezi ziona mpaka ninapoamua kukufanyia jambo ndipo utakapojua namna nakupenda.

Mke/Mpenzi wangu nipo nae kama simtaki hivi,kama yani anytime naeza move on nikatemana nae nikafanya yangu

but "ndani ya moyo siruki sikukuruki", hii formula yangu ya kuwa undifined humfanya mwanamke asijaribu hata siku 1 kutingisha kiberiti.

Mnapokua ndani ya ndoa/mahusiano mwanaume unatakiwa uwe kama baba sio kutilia huruma,hata mwanamke akuzidi kipato mara 100 kama mwanaume utafata yako na kuachana na pesa za wife, hakuna mwanamke wakukugeuza kibenten.

mwanamke anaingiza 5m per month, mwanaume unaingiza 1m per months, Hutakiwi kuwa mnyonge, asubuhi acha pesa ya matumizi,lipia watoto ada,nk nk,yani hela ya mwanamke achana nayo.

Ukipata shida,usije lia lia kwa wife Komaa huko huko unakotaftia ile 1m yako upate pesa utatue matatizo yako, ukirudi home pigia simu wanao waulize vipi ule mchongo,vipi ile pesa,nk Mbele ya wife wako.

wife akiskia atakua hakuelewi atahisi mume wake una mipesa zaidi yake,kumbe ile pesa unayo uliza wanao ni (buku 5 tu)

Ki ufupi wanaume kukoromewa ndani ya nyumba kutawaliwa na wake zao shida ni wao wenyewe,wanaume wengi wakihisi wana date na wanawake wenye pesa hujigeuza omba omba,kila mishe inayotaka hela lazima amlilie mke/mpenzi wake.

mwanamke atakupa atakupa atakupa ila kuna wakati utafika ataanza kujiona kumbe yeye ni kidume ana provide kila kitu ndio hapo dharau zinapoanza,ataanza tingisha kiberiti na mwisho tabia inakomaa anageuka mwamba,mwanaume anabaki jina uanaume kushnei.

Wanaume jifunzeni ku balance shobo kwa wake/wapenzi zenu na zaidi mjikite ktk ku provide kwao yale mahitaji yao ya muhimu bila kujali wana pesa au hawana,ukiwa hivyo hakuna mwanamke atakubenulia momo kisa anapesa.

wanaume wanaotetemekea wanawake wenye pesa matokeo yake ndio hayo,ukicheka na nyani lazima uvune mabua,Mwanaume kaumbiwa mamlaka/kutawala/kumiliki/kuongoza,nk

Hakunaga mwanamke anae ibuka tu vuuup anakuwa juu yako tabia inaanzaga kama uyoga,the more anaona huna respond yyte katka anayokufanyia ndio zaidi tabia yake mbovu inazidi kukomaa.

Wanaume kuweni wanaume,kulia lia na kutatuliwa shida zenu (hasa zile kubwa) na wanawake/wake zenu kila mara ndio matokeo yake mnageuzwa ke.

Mwanaume umeumbiwa mapambano tena ukiwa na mwanamke ana pesa ndio shobo acha kabisa na pesa zake,Out mpeleke wewe sehemu unayotaka sio anayotaka yeye (kisa ana pesa) "be a man".

Wanapokusaidia mwanzo hukupa pesa kama hawataki,utaskia wakikubembeleza kabisa uchukue ni kawaida, Mianaume milofa inapokea inaona mtelezo si huu (makosa hayo) huyo ni mkeo,hizo ni pesa zenu japo zipo kwake,akikupa usizichukue.

kapambane huko mbele kwa mbele ukipata matatzo atakuja kuyatatua matatzo kwa pesa zake ila ni kosa la jinai kupokea msaada toka kwa mke/mpenzi ile live live,inaanzaga taratbu baadae mwanamke anaona hili boya nimelioa tu.

Wanaume badilikeni,upendo wenu ubaki mioyoni mwenu
shida zenu zibaki mioyoni mwenu
mateso yenu yabaki mioyoni mwenu

Muache bilionare wife wako na pesa zake,usionyeshe udhaifu wala usikubali kusaidiwa majukumu, Hata aje umuoe mama SSH kamwe hawezi kukubetulia mdomo maana anakujua how fighter you're.

Mwisho niseme tu,wanaume tumeumbiwa mateso,Atae elewa na aelewe.
 
Kwani mwanamke akigundua mwanaume anapungukiwa mamlaka kwanini asijishushe ego yake ipoe ya Nini kuanza kijipaisha wkt anajua hawezi ku control Hiyo nguvu ya mamlaka
Mwanamke atajishusha pale Mme anayejielewa, sababu unaweza jishusha na mambo yakazidi kwenda hovyo
 
Hilo ni kweli kabisa, inakuwa kama kulipa si alikuwa ananifanyia hivi acha nipumue, hapo ndipo mwanaume anapoanza kulalamika mke kabadilika, ukifuatilia kiundani sababu ni yeye mwenyewe kamshika kipofu mkono wakati wa kula
 
Hapo utasikia pesa zinampa kiburi wakati ulimpa heshima zote akazikanyaga mwenyewe, tupa kule!
 
Muache bilionare wife wako na pesa zake,usionyeshe udhaifu wala usikubali kusaidiwa majukumu,

Lakini mkuu kuna scenario hapa(za kubuni)

Mfano 1,,, Baba unaanza ujenzi,,, mkeo anafahamu,,, halafu wewe hela ya kukamilisha ni ya mdogomdogo,,, Mkeo anapesa ndefu zinaweza maliza hio project... na anafosi ashiriki kwenye hilo... Je utakataa au utaruhusu..!???

Mfano 2: May be umezaa na mwanamke,,, mtoto wakati wa shule,,, wew unataka aende shule fulani na yeye anataka ampeleke shule ingine.,,na anao uwezo wa kumlipia ada mtoto bila hata ya wewe..Baba ukagoma asiende ila yeye akampeleka na ada analipa.... Utafanyaje kama Baba....????

Mfano 3, Mkeo anataka friji, Furniture au Tv,AC,, na ana uwezo wa kununua wakati huo,,,,ila wewe Baba ni hadi ujichange miezi kadhaa.... Je utaruhusu anunue au utakataa.!????

Mkuu nijibu hapo..

BUT yote kwa yote Kijana wa kiume JIFUNZE KUJITEGEMEA siku zote za maisha yako...Wakukusaidia pekee ni Mungu..
 
Huyo alikua hajiamini, wanaume wwngi waliozidiwa kipato huwa hawajiamini na hiyo ni kama defensive mechanism ili usijponyoka.
 
Mdogo wangu you're so smart,
Umesema yote na zaidi hakika,
Natamani Mods wangeifanya hii ikuwe pinned pale juu ili kila mwanaume aisome.!!
Sina la kuongeza, Ahsante.!
 
Unaoa mwanamke aliyekuzidi pesa na elimu ili ugundue nini kama sio umarioo, oa Saizi yako unayemmudu, kama mtoa Mada ulivyosema wanawake hawakuumbwa kumiliki power japo wanayo tena Mungu kawapendelea power kubwa kuliko mwanaume ila power hiyo ni passive kwa ajili ya kumsaidia mwanaume ndio maana akaitwa msaidizi, mwanaume Ana power kiasi ila ni active, kwa hiyo mwanamke akiwa active ni Sawa na kubadili jinsia hata umkumbushe majukumu yake ni kazi Bure ni Sawa na umeoa shemale.
 
Ubarikiwe,
Umenena vyema..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…