wanaume sometimez mnaboa nyie !!!!mkoje lakini teh teh

wanaume sometimez mnaboa nyie !!!!mkoje lakini teh teh

mama, haya mengine yanakuja bila kupanga mazee, sometimes mtu anakutwa kwenye situation... mwingine unakuta ni mapenzi yameisha kule hom kwa hiyo hajali... Lakini nadhani njia pekee ya kukomesha huo m-boreko ni nyie akina dada kuongoza jahazi kwa kukataa kutumika hivyo. huwa hili linatutia sana hasara akina baba na tatizo linazidi kuongezeka

Yaani unakuta kadada na kenyewe kanakeua meno kakishangilia kuliwa kama spare tyre bana!!
blue = Ni kweli hadi mahitaji ya nyumbani yanakuwa hayatimizwi ipasavyo tena , watoto hawapati mapochopocho tena na wife anaanza kumiss outing and relevent services na hizo
red = wanapenda sana CPA jamani kwani wanajua huko kwingine ni vurugu mechi
 
Katabia kenu huwa sikapendi/hatukapendi ka kulindana

huwa mna ubavu gani unakuwa na mke na marafiki zako wanamjua kama shem wao lakini bado ukiwa na ma G/F unawatambulisha marafiki zako " shemeji yenu " kutana na shemeji yako
nao wana accept na kuanza muita shemeji hai-make sense !!!!!!!!
FL1

This is a terrible generalization.

Nakutaka uwaombe radhi wanaume na ku specify ni wanaume gani unaoongelea.huwezi kuitukana jinsia nzima kwamba haina uaminifu kwa sababu ya watu fulani wa jinsia hiyo.Huna tofauti na yule anayesema wanawake hawajui hesabu, wafrika wachafu etc etc.
 
what goes around comes around

nyie na how watoto wadogo wakiume aka serengeti boys, mnaona sasa siyo

world has change even small girls are fighting for their share of the pie
 
Hehehehe unataka unikatishe tamaa? mi nimesha soma mchezo dawa kuoa mwanamke mwenye sura mbayaaaaaa kama anapuliza moto wenye moshi mzito.

Then utalazimika kuwa na nyumba ndogo kadhaa, na utapata watoto wanaofanana na huyo mwanamke
 
This is a terrible generalization.

Nakutaka uwaombe radhi wanaume na ku specify ni wanaume gani unaoongelea.huwezi kuitukana jinsia nzima kwamba haina uaminifu kwa sababu ya watu fulani wa jinsia hiyo.Huna tofauti na yule anayesema wanawake hawajui hesabu, wafrika wachafu etc etc.

nimuombe nani samahani Bluray labda ukate rufaa kitu gani hapa hakieleweki kama wewe hufanyi wapo wanaofanya
Thanks in Advance
FL
 
what goes around comes around

nyie na how watoto wadogo wakiume aka serengeti boys, mnaona sasa siyo

world has change even small girls are fighting for their share of the pie

teh teh teh teh
 
nimuombe nani samahani Bluray labda ukate rufaa kitu gani hapa hakieleweki kama wewe hufanyi wapo wanaofanya
Thanks in Advance
FL

Tatizo umesema WOTE wakati ukijua fika MIMI sina tabia hiyo. Hapa ndipo unatakiwa uniombe radhi mimi na wengine kama mimi.
 
Tatizo umesema WOTE wakati ukijua fika MIMI sina tabia hiyo. Hapa ndipo unatakiwa uniombe radhi mimi na wengine kama mimi.
huyu anatakiwa akuombe radhi kwa pi-emu!ikibidi apewe kadi ya mwaliko aje maeneo!au sio bwashee?😀
 
nimuombe nani samahani Bluray labda ukate rufaa kitu gani hapa hakieleweki kama wewe hufanyi wapo wanaofanya
Thanks in Advance
FL

Mi napo weka generalization hapa iwa unakuwa against hapa vp tena mama au jana ulikunywa sana wine?
 
huyu anatakiwa akuombe radhi kwa pi-emu!ikibidi apewe kadi ya mwaliko aje maeneo!au sio bwashee?😀

Mtoto alipoona ile thread akasepa. Aliogopa konvinsing pawa ya mabinamu. Hata PM hakujibu. Mwoga kweli yani.
 
Mtoto alipoona ile thread akasepa. Aliogopa konvinsing pawa ya mabinamu. Hata PM hakujibu. Mwoga kweli yani.

hahaha!yu neva noo!huenda yeye mwenyewe ndo semenya.ana aidii mbili
 
hahaha!yu neva noo!huenda yeye mwenyewe ndo semenya.ana aidii mbili

Basi fanya hima umkokote mpwa fidel. Asije akasepa baada ya kufungwa na mnyama afu semenya akatuletea dhahma.
 
Basi fanya hima umkokote mpwa fidel. Asije akasepa baada ya kufungwa na mnyama afu semenya akatuletea dhahma.

huyu leo tutagawana majukwaa tukifika uwanjani!maanake kwenye hili gemu ni mahasimu!bai dhe wei shem lazima utakuwepo.donti teli mi unapenda zaidi mpira wa luningani😀
 
huyu leo tutagawana majukwaa tukifika uwanjani!maanake kwenye hili gemu ni mahasimu!bai dhe wei shem lazima utakuwepo.donti teli mi unapenda zaidi mpira wa luningani😀

Kwani wataonyesha live? Kama wataonyesha niambieni mapema niwe namuwoch mnyama anatafuna ugali huku kilauri kikiwa mezani.
 
huyu anatakiwa akuombe radhi kwa pi-emu!ikibidi apewe kadi ya mwaliko aje maeneo!au sio bwashee?:d

siombi radhi kwa mtu yoyote hapa ndani hahahahahaah wanaumeee hatari
wanawake na maendeleo tufanye kazi !!!
Mpo weekend vip jamani??
 
mimi sidhani kama kuna tatizo, je kama ana wake wawili kwa wale waislam amtambulishe hawara wakati ni mke wake?
 
nyie huwa mnaambizana wenyewe tu mnadhani wanawake hawawezi kuwapa round eeh??

Kwa taarifa yako wanawake zaidi ya 6 watakuwepo hiyo kesho. Jana si nilikuPM ukanichunia? Afu unazuga eti hatujakushirikisha.
 
Back
Top Bottom