Wanaume suruali!


Fidel mbavu zangu
kwa hiyo we hodari wa kutongoza unakwenda peku maana ni wengi hao
 
your choice is my command. halaf sjui kwanini mapenzi ukiyaongelea kwa kiingereza yananoga?, mimi nazani hili lugha la kiswahili limekaaa kiuadui adui tu. (hii itakuwa ni sredi yangu inayofata)

Hamna bwana....hata kiswahili kinapendeza mradi kitolewe kwa sauti nzuri!!!

Haya mpenzi mi nataka twende kwa yule mama ntilie wa pale Kariakoo ana wali mzuri kweli!!!
 
Hajatangaza Lizzy ila alikuwa anaota huku anaongea.
Kwani hujawahi ona mtu anaota huku anaongea au anatembea kabisa huku anaota?

Hehehhe....wanaoota wanaongea wakiwa usingizini.Njozi on the other hand sidhani kama inakua hivyo!

Yaelekea wewe Lizzy mzuri alafu mtamu ehee?

Hehehehehhe.....hapa no comment.....ngoja ntauliza nijue kwa faida binafsi!
 
Marytina hawa kaka zangu nawapenda sana kwahiyo siwezi kuwakashifu hata siku moja...ila wakikosea stepu nawapaka live bila chenga![/QUOTE]

Akikosea mweleze ajirekebishe asirudie tena next time kwako au kwa wengine
 
Hili dongo, watu muache kwenda PM, mnaona sasa hasara zake..!!
 
Kama ni kweli akisema kuna ubaya gani?
Hivi ndugu tuko... huyo sungura wako hakojoi tu?? mbona atamuua huyo sungura jike kwenye avatar?? au dnio sungura dume kiu kumoyo?
 
Hamna bwana....hata kiswahili kinapendeza mradi kitolewe kwa sauti nzuri!!!

Haya mpenzi mi nataka twende kwa yule mama ntilie wa pale Kariakoo ana wali mzuri kweli!!!
khaaaa! lunch cancelled.
 
what nest do u want us to say,u have arleady made a stereo type error,ure statement is conclusive and we cant add anything
 
Mhhhh kwanini tena mpenzi?
hii njemba yako ikituona mama ntilie si itaenda kuuza gazeti? halaf hapa JF jamaa wanajua mimi ni selebriti flani tu ambae natembea na mwevuli ili nispigwe na jua.
 
hii njemba yako ikituona mama ntilie si itaenda kuuza gazeti? halaf hapa JF jamaa wanajua mimi ni selebriti flani tu ambae natembea na mwevuli ili nispigwe na jua.

Khaaaaa!!Kumbe wewe ndo wale kina faifu star full maneno na majigambo!!!
Ngoja nitafute ka-tuu star niendane nako!
 

Huwezi jisifia hata siku moja kutembea na njemba fulani ni aibu kwa mwanamke.
 
hii njemba yako ikituona mama ntilie si itaenda kuuza gazeti? halaf hapa JF jamaa wanajua mimi ni selebriti flani tu ambae natembea na mwevuli ili nispigwe na jua.

Kloro umekuwa sharobaro ghafla dah!!
 

Skulimeti,

Hapa umenikumbusha mwalimu Kashimbiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…