Wanaume tabia hii ya asili inawaumiza wanawake(hit and run)

Wanaume tabia hii ya asili inawaumiza wanawake(hit and run)

Kwanza tambua kuwa unapomtaja mwanaume..ujue unamzungumzia mtu aliyekomaa kifikra...ujue unamzungumzia mtu ambaye anajua anatakiwa kufanya nini na kwa wakati gani...unamzungumzia mtu ambaye ni kichwa cha familia au kiongozi wa familia kwa hiyo lazima awe na maono na akili iliyokomaa ili aweze kuiongoza vyema familia yake....mwanaume mwenye fikra pevu hawezi akasimama mbele ya umati na kujigamba kwa kuwahonga wanawake wa nje hali ya kuwa anajua kuwa hatima ya ustawi wa familia yake iko mikononi mwake....

mwanamume mwenye utimamu wa akili hawezi akakaa sehemu za starehe na kufuja fedha hali ya kuwa familia yake inateseka kwa kukosa mahitaji muhimu......mwanaume aliye timamu hawezi kuyumbishwa na matamanio ya kimwili kwani anajua kuwa nyumbani yupo malkia wake mwenye jukumu la kumtimizia haja zake.....matendo ya kuwafunua wadada na kuwaacha huwa yanafanywa na wanaume wanaoonekana kuwa ni wanaume hali ya akili zao na maamuzi yao vinaongozwa na matamanio...hawana tofauti na wavulana wanaohangaishwa na balehe na ugeni wa mambo....

.ni matukio ambayo hayana faida kwa mwanaume zaidi ya hasara kwani huyumbisha uchumi wake.....wengi wa waliokuwa na tabia hizo nikiwa na maana ya kuwekeza rasilimali zao katika kuwafunua wadada vyupi vyao na kuwaacha wanaonekana kujutia kwani mwisho wa siku hakuna faida badala yake wanahesabu hasara.....kitu ambacho baadhi ya wanaume hawakijui ni kwamba wanawake wazuri hawaishi na kamwe hawajawahi kuisha hapa ulimwenguni kwa maana ya kuwa kila siku wanazaliwa wapya na wazuri kushinda uliowaona mwanzo....na wanavutia haswa kwa kuwa wao ni mapambo ya ulimwengu.....busara ni kuoa.....na hekima ni kutulia na mkeo....

Yote hayo hayaondoi ile hali ya asili ya mwanaume!
 
Umeona wapi raisi anafanya campaign baada ya kushinda uchaguzi ??? Tehe iko hvyo tu..Lol

Ifike wakati watu wote wanaume kwa wanawake watambue kwamba ngono ni starehe kama starehe zingine (as long as ni mtu mzima na unajitambua) its no point mnazungushana weee na kupotezeana wakati na pesa bila returns zozote. Nikitupa mistari ikamuingia mtoto....kinachofuata ni kulana uroda tu.

Kama nampenda na kutaka awe mwenzi wangu wa maisha nitamueleza ukweli. Alaf wanawake wengi hawajui tu, kua wife material its simply the way mwanamke anavyo jiweka i.e. Dressing, interlect, vision, manners, loving etc. Akiji establish kama mke mwema automatically men wud be attracted nd wud treat her more seriously nuthn mysterious.
 
Umeona wapi raisi anafanya campaign baada ya kushinda uchaguzi ??? Tehe iko hvyo tu..Lol

Ifike wakati watu wote wanaume kwa wanawake watambue kwamba ngono ni starehe kama starehe zingine (as long as ni mtu mzima na unajitambua) its no point mnazungushana weee na kupotezeana wakati na pesa bila returns zozote. Nikitupa mistari ikamuingia mtoto....kinachofuata ni kulana uroda tu. Kama nampenda na kutaka mwenzi wangu wa maisha nitamueleza ukweli.
Mueleze basi kabla hujamla
 
Sasa kama kajirahisisha kwann asiliwe hamna namn nyngine ya kutomla na kusepa
 
Mueleze basi kabla hujamla

Ukimweleza kabla hakupi k...
Lol nakumbuka nshawahi fukuzia mtoto flan almost two years....
Siku ananipa K.... sikuamini.....sikutaka kwenda nae pupa cz ningeharibu....
Sio kila gear ya kupandia mlima....tehe
 
Si ndo utafute yule ambae utamuhitaji for life na sio kuchakaza k.. za wenzio sio vizuri kuwachakazia wanaume wenzio

Hahaha kipya kina raha yake jombaa...alaf kuna watoto wengine bwana wana mitego mibaya sanaa...anakudekea kama mtoto wa nursery alaf ukimuangalia alivyo jaa jaa sasa, kifua na kiuno chake... Mweee.
 
Mi nafikiri sababu kubwa ya hit and run
1.KUTOKUZUNGUMZA AU KUTOKUWA NA MAWASILIANO YA WAZI BAINA YA WENZA mi huwa naamini mpaka mtu akufate basi amekupenda au mpaka mtu aombe gemu basi amekupenda lakini hii tabia ya wenza kuwa mabubu ina kost
mnaingia kunako viwanja vya mautamu hakuna anaesema lolote mwanamke anasubiri umvue nguo uingize umpe ela akafue chupi
mwanaume the same applied anasubiri kama hata angalau unaeza mpa blowjob HAPO AONGEI ANAKUA ANAWAZA NA KU IMAGNE TU KWAMBA MIUJIZA ITATOKEA mwisho wa siku kila mtu anatoka pale lakini mwanaume anasema hapana huyu mwanamke ni sura tu lakini hajui lolote ngoja hata ni tafute malaya
maana trust me kinachofanya mwekundu unitongoze ni nini kama sio making love????? maana unakuuta kila mtu ana uwezo wake lakini iweje muungane au muishi pamoja ni kwa sabbu ya mapenzi
ila sasa KUNA WANAWAKE KUKWAMBIA NAOMBA ELA YA SALUNI WALA AWAZI MARA MBILI ILA KUKUULIZA NIKAAJE ILI UMPATE JOJINA VIZURI WAKATI WA MECHI HAJAWAHI HATA KUWAZA KUSEMA HIVYO HATA SIKU MOJA
NA HII SIO KWENYE MAKING LOVE TU pia katika mambo mbalimbali ya kawaida
unakuta mwanamke kumwambia mwanaume sipendi ukila uwe unabonyeza sim anaona kama nitamfanya akimbie au mambo yanayofanana na hayo
katika hili KWA WANAWAKE ili kuepusha hili unavyokutana na mwanaume kwa mara ya kazi kazi yako ni moja tu KUMTENGENEZEA MAZINGIRA ILI UWE HURU KUZUNGUMZA NAE
NAWANAUME USIWE RIGID ongea na mwenzako UTARUKA MPAKA LINI?????? au mpaka ukutane na yenye meno??????

2.stress za maisha ikiwemo pesa hapa ina kuwa kwa wote kuna wanawake kitu cha kwanza anachokiwaza ampatapo mwanaume ni PESA my dear hiyo tabia itakuwa katika akili yako mwishon utaionesha dhahiri na mwishoni UTAKIMBIWA
na pia WANAUME sio kila muda tu unawaza kutafuta pesa hii inakupunguzia performance na pia itakufanya umchukie mpenzi wako Ukiwa nae embu funga faili hilo
KAMA UNATAFUTA ELA BILA KU ENJOY ANGALIA USIWE PUNDA HADI KUFA KWAKO

3.nimechoka mkono nitarudi baadae
 
Waliwe tu' kuleni tu..kama mtu hataki kujitunza hadi siku ya ndoa..wataliwa tu.....
 
Mi nakataa nadharia ya hit and run kabisa. Pia si lazima mwanaume pekee awe ana hit and run. Binafsi nimeshakutana na wanawake wanaofanya hiyo kitu. Nina marafiki zangu wamekumbana na hali hiyo ya hit and run toka kwa wanawake.

Kinachotokea kwenye hit and run ni kukosa chemistry kati yenu wawili, mwanaume amevutiwa na umbo tu na anataka alitumie kujiridhisha kimatamanio na si kwa ajili ya life time. Na pia kuna wanawake wanakubali kusex na wewe kwasababu wana nyege na si kwamba anaanza kukupenda na ukimaliza anakata mawasiliano.

Pia si wanaume wote wanao hit and run inawatokea milele. Kuna wale wanaonasa kwenye jumba bovu. Amekutongoza kwa ajili ya kula mzigo tu, mkasex siku ya kwanza akajikuta amefia mzigo mapema kabisa.

Nadharia ya hit and run ipo pande zote na si wanaume tu.
 
MI naona Waliwe tu.. eeh maana hakuna nmna nyingine sasa.
 
Mi nakataa nadharia ya hit and run kabisa. Pia si lazima mwanaume pekee awe ana hit and run. Binafsi nimeshakutana na wanawake wanaofanya hiyo kitu. Nina marafiki zangu wamekumbana na hali hiyo ya hit and run toka kwa wanawake.

Kinachotokea kwenye hit and run ni kukosa chemistry kati yenu wawili, mwanaume amevutiwa na umbo tu na anataka alitumie kujiridhisha kimatamanio na si kwa ajili ya life time. Na pia kuna wanawake wanakubali kusex na wewe kwasababu wana nyege na si kwamba anaanza kukupenda na ukimaliza anakata mawasiliano.

Pia si wanaume wote wanao hit and run inawatokea milele. Kuna wale wanaonasa kwenye jumba bovu. Amekutongoza kwa ajili ya kula mzigo tu, mkasex siku ya kwanza akajikuta amefia mzigo mapema kabisa.

Nadharia ya hit and run ipo pande zote na si wanaume tu.

Umetoboa mule mule mkuu....alaf hit n run za wanawake ni balaa....unakuta ka wa list kama 6 hvi anao wamudu vizuri alaf wote mko treated uniquely nd u all feel mko peke yenu...
 
Mi nakataa nadharia ya hit and run kabisa. Pia si lazima mwanaume pekee awe ana hit and run. Binafsi nimeshakutana na wanawake wanaofanya hiyo kitu. Nina marafiki zangu wamekumbana na hali hiyo ya hit and run toka kwa wanawake.

Kinachotokea kwenye hit and run ni kukosa chemistry kati yenu wawili, mwanaume amevutiwa na umbo tu na anataka alitumie kujiridhisha kimatamanio na si kwa ajili ya life time. Na pia kuna wanawake wanakubali kusex na wewe kwasababu wana nyege na si kwamba anaanza kukupenda na ukimaliza anakata mawasiliano.

Pia si wanaume wote wanao hit and run inawatokea milele. Kuna wale wanaonasa kwenye jumba bovu. Amekutongoza kwa ajili ya kula mzigo tu, mkasex siku ya kwanza akajikuta amefia mzigo mapema kabisa.

Nadharia ya hit and run ipo pande zote na si wanaume tu.

Wanawake wa hivyo eti ni Malaya ila wanaume wao ni uanaume.
 


Sana tuu mwekundu na hiyo ni kweli kabisa maana wakati tunatafuta tunakuwa wema sana na wanyenyekevu yaani hata Pope anasingiziwa tunavyokuwa wakati wa kutafuta na kutangaza ndoto zote za ufalme na ndoa na imagination ya ndoa itakavyokuwa siku hiyo

Ni wakati hatujafunuana nakuonana ni nini kila mtu anacho ameficha kwenye boxer na kyupi
Ila sasa tukishaonana dah kuna kitu kinakuja unajiuliza hivi speed yote na ghara/ma zangu zote nilizotoa na simu zangu na text na kuchart usiku ni hiki nilikuwa nahangaikia

Unyenyekevu wote umeisha na upole wote umeenda porini na nakuwa mbaya sana kwa kipindi hicho ukinitext au ukipiga simu always nakata au sipokei au nitakujibu short jua hapo ahadi zote zishayeyuka
 
Nashukuru **** mkaka nampenda sana kumheshim coz alkua nkwel kwa kusema me nataman kucheza mechi na wew yule ndo mwanaume wengne wote ni mifano ya wansume ndo mana mnadanganya
 
Sana tuu mwekundu na hiyo ni kweli kabisa maana wakati tunatafuta tunakuwa wema sana na wanyenyekevu yaani hata Pope anasingiziwa tunavyokuwa wakati wa kutafuta na kutangaza ndoto zote za ufalme na ndoa na imagination ya ndoa itakavyokuwa siku hiyo
Ni wakati hatujafunuana nakuonana ni nini kila mtu anacho ameficha kwenye boxer na kyupi
Ila sasa tukishaonana dah kuna kitu kinakuja unajiuliza hivi speed yote na ghara/ma zangu zote nilizotoa na simu zangu na text na kuchart usiku ni hiki nilikuwa nahangaikia
Unyenyekevu wote umeisha na upole wote umeenda porini na nakuwa mbaya sana kwa kipindi hicho ukinitext au ukipiga simu always nakata au sipokei au nitakujibu short jua hapo ahadi zote zishayeyuka

This is the way it is !! hivi kale kanakuaga ka pepo au ndo asili yenyewe?maana jinsi tunavyofurahia wanawake wanakua wameumia
 
Back
Top Bottom