Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Wanachuo vizinga affordable sana sasa hao wakubwa utasikia biashara yangu imeyumba niboost Million[emoji3] Mara kodi
Hahahahahah unageuzwa danga wakati mtoto wa shule ukimpa laki anakula chips na juisi ya ubuyu miezi 6 🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiz comment zinanichekesha balaaaaaa
Eti masikio ya tembo jamani khaaaaaaa!!

Ila tumepondwa na vitambi vyetu na chuchu zetu zilizolala
1.Miziwa ndala 🤣🤣 🤣

2.Shavu za mbunye kubwa zimelegea kama sikio za tembo.

3.Vitambi kama afisa mirindimo
 
Kuna mzee hapa amekufa ganzi miguu na mikono jana nimesikia ganzi imeanza kuingia na mdomoni, mzee alikua maarufu sana wa vibaby na chanzo cha haya yotee ni kibaby kimoja kilimtoa bilabila nusu kimuue akaishia kupata ganzi...haya mambo yanaenda na umri bwanaa.
Sasa ukishaona umekata ringi age Go lazma umrudie Mola tu. We una miaka 70 bado unakimbizana na mbunyesti kweli? 😂 😂 😂
 
1.Miziwa ndala [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]

2.Shavu za mbunye kubwa zimelegea kama sikio za tembo.

3.Vitambi kama afisa mirindimo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Na nyie mbona chululu imemezwa na vitambi vya lager lkn tunawavumilia? Tuvumiliane tu wanaume zetu tusikimbiane
 
Naona tabia za kuomba hela zipogo Sana kwa wanawake wa bongo. Huku nilipo sijaona kabisa hizo tabia. Nadhani na mazingara pia yanachangia Sana.
Huko watoto wanalipiwa ada kuanzia chekechea na serikali, hospitali bure utafananisha na huku Samvulachole 🤣?

Huku ukiwa na uwezo wa kupanga geto na kujilipia bills kila demu anajisogeza ili akuchune hata uwe boda boda 🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Na nyie mbona chululu imemezwa na vitambi vya lager lkn tunawavumilia? Tuvumiliane tu wanaume zetu tusikimbiane
Hahahahahah mwanaume anavyozidi kwenda age ndio anazidi kupendwa. Ule u HB unaongezeka 🤣🤣🤣 ila wenzetu sasa story ni kinyume.

Kuweni wapole tu jamani.
 
Back
Top Bottom